kwaiyo wewe unafanya interview j5 au? simu umepigiwa j3 au? mana post yako muda wake hauendi sawa la computer yangu basi nakuwa ngumu kugundua
yap,walinipgia j3 jion! Now niko hapa ofcn kwao ndio nawasubiri.
mimi waliniambia watanipigia mwisho wa wiki hii kunipa majibu na kuhusu malipo sijajua but walisema ni negotiable hawakuwa specific ingawa waliniuliza napenda nilipwe ngapi.
Kati ya bank ambazo zinalipa vibaya ukiachilia na Tanzania Postal Bank basi hii ndo inafuata.
Bank teller jiandae kupokea sh 350,000 tu kwa mwez.
loan officer je? hizi bank hizi duuuh,
wanaweza wakakulipa laki mbili hao' hawana aibu