Interview ACB

ansy

New Member
Jul 29, 2012
2
0
Wadau nilikua nauliza kama kuna mtu yeyote ana updates za watu kuitwa kwenye interview AKIBA COMMERCIAL BANK
 
Wadau nilikua nauliza kama kuna mtu yeyote ana updates za watu kuitwa kwenye interview AKIBA COMMERCIAL BANK

interview imefanyika jana pale ubungo plaza! na waliwapigia watu simu ijumaa jioni kuwa j1 waende kwenye interview ubungo plaza branch, na imefanyika pale! tena walikuwa na post za ziada za loan officer, kwani wewe hukupigiwa simu? ijumaa au.
 
hivi hawa jamaa wanalipa sh ngapi kwa mabank teller na maloan officer wao, mana mimi niliwaambia mil1 waliponiuliza wakabaki wanacheka tuu jamani.
 
Wewe unatoka Moshi?

mkuu hawa jamaa wanauchaga nini, mana hata board of directors na management team naona wamejimwaga wao sana,jaribu kufungua web yao afu angalia utaona! wakikuonea huruma sana labda uwe umetokeatokea tanga ivi watakufikiria hapo.
 
mkuu hawa jamaa wanauchaga nini, mana hata board of directors na management team naona wamejimwaga wao sana,jaribu kufungua web yao afu angalia utaona! wakikuonea huruma sana labda uwe umetokeatokea tanga ivi watakufikiria hapo.

Wanataka wachapa kazi!! Kazi za benki si lelemama!!
 
mkuu hawa jamaa wanauchaga nini, mana hata board of directors na management team naona wamejimwaga wao sana,jaribu kufungua web yao afu angalia utaona! wakikuonea huruma sana labda uwe umetokeatokea tanga ivi watakufikiria hapo.

Ndio maana yake; wanachaguana wao kwao hawana hata aibu!!
 
Ndio maana yake; wanachaguana wao kwao hawana hata aibu!!

ile bank yao inalipa fresh au? mana kama hizo nafasi za bank teller wamezisifiia na kudai watatoa wage nono na packages nyingine! au ndo danganya toto
 
sasa wachaga wachapa kazi au wezi! hahaha, kazi tembo malipo sisiminzi bana! hapa tu ndo bank wanaponichosha mkuu

Fanya sensa ya waajiriwa wengi wa benki anzia BOT hadi commercial banks and non-banks au niseme financial institutions zote (bank and non-banks) wachaga ni waajiriwa wakubwa? Waliowaajiri hawakujua kama ni wezi? Mafuru na deal zake ambazo NBC imepata hasara ya bil 26 naye ni mchaga? Tumia data sahihi? Je wezi wa EPA wachagga ni wangapi? na ile DEEP Greedn, Kagoda na mengine mengi, wachaga wako wangapi pale? Ni vema uwe unatumia evidence based research. Ila tu ni msemo kuwa wachagga ni wezi kwa kuwa walionekana wana maendeleo tangu awali!!! Ni watafutaji sana, hata akiajiriwa na mshahara mil. 10 but ni lazima na ujasiriamali na biashara hata ka bar tu!!!

Nilisoma zamani sana shule za moshi (enzi hizo zinawika secondary za seriali kule kina Old Moshi, Lyamungo, etc) na niliona kabisa maendeleo yao ni tofauti na nilipotoka maana hata maji ya bomba na shule nzuri ambazo zina madawati (no kukaa chini). Nilirudi huko kikazi miaka mitatu iliyopita na kila nyumba hadi kule vijijiji ndani kuna umeme, maji na barabara!!!! Shule kila kilometa moja na zote zina waalimu na madawati!!! Sasa hawa ni wezi au ni model? Niliapa kuwa ni lazima nifanye kama wachagga na kwa kuwa kijijini kwetu hakuna maji wala umeme na sijui ni karne ipi vitafika basi nililazimika kuhamisha wazazi wangu miaka 15 iliyopita wakaishi maisha ya mahitaji muhimu kwa kuwatafutia eneo lao kabisa!!! Ndiyo njia peekee ya kuwaenzi!! Miaka 50 na number hakuna huduma za jamii. Wachagga wana vyama vyao vya kukarabati vijiji vyao na kila wakati wanafanya mikutano mijini. I appreciate chaggas!!! Bora uige mazuri ya maendeleo kuliko kuponda na kuwaita wezi, wanajituma.
 
fanya sensa ya waajiriwa wengi wa benki anzia bot hadi commercial banks and non-banks au niseme financial institutions zote (bank and non-banks) wachaga ni waajiriwa wakubwa? Waliowaajiri hawakujua kama ni wezi? Mafuru na deal zake ambazo nbc imepata hasara ya bil 26 naye ni mchaga? Tumia data sahihi? Je wezi wa epa wachagga ni wangapi? Na ile deep greedn, kagoda na mengine mengi, wachaga wako wangapi pale? Ni vema uwe unatumia evidence based research. Ila tu ni msemo kuwa wachagga ni wezi kwa kuwa walionekana wana maendeleo tangu awali!!! Ni watafutaji sana, hata akiajiriwa na mshahara mil. 10 but ni lazima na ujasiriamali na biashara hata ka bar tu!!!

Nilisoma zamani sana shule za moshi (enzi hizo zinawika secondary za seriali kule kina old moshi, lyamungo, etc) na niliona kabisa maendeleo yao ni tofauti na nilipotoka maana hata maji ya bomba na shule nzuri ambazo zina madawati (no kukaa chini). Nilirudi huko kikazi miaka mitatu iliyopita na kila nyumba hadi kule vijijiji ndani kuna umeme, maji na barabara!!!! Shule kila kilometa moja na zote zina waalimu na madawati!!! Sasa hawa ni wezi au ni model? Niliapa kuwa ni lazima nifanye kama wachagga na kwa kuwa kijijini kwetu hakuna maji wala umeme na sijui ni karne ipi vitafika basi nililazimika kuhamisha wazazi wangu miaka 15 iliyopita wakaishi maisha ya mahitaji muhimu kwa kuwatafutia eneo lao kabisa!!! Ndiyo njia peekee ya kuwaenzi!! Miaka 50 na number hakuna huduma za jamii. Wachagga wana vyama vyao vya kukarabati vijiji vyao na kila wakati wanafanya mikutano mijini. I appreciate chaggas!!! Bora uige mazuri ya maendeleo kuliko kuponda na kuwaita wezi, wanajituma.

wanajituma lakini na wizi juu tena kwa sana, wanajituma kwa wizi.
 
wanajituma lakini na wizi juu tena kwa sana, wanajituma kwa wizi.

Pole sana!!!!!!! Toa evidence maana tunajua wezi wakubwa wa nchi hii ni mafisadi na wako katika Chama Cha Mauji Tanzania!!! Wezi wengine ni vibaka tu, makambare na mapapa si mnao nyie? Mbona katika hao hakuna wachagga? Nipe facts!!!
 
Pole sana!!!!!!! Toa evidence maana tunajua wezi wakubwa wa nchi hii ni mafisadi na wako katika Chama Cha Mauji Tanzania!!! Wezi wengine ni vibaka tu, makambare na mapapa si mnao nyie? Mbona katika hao hakuna wachagga? Nipe facts!!! wewe mwenyewe(mchaga) tu ni mwizi hapo kwenye shughuli zako, na sasa unawaza utapeli kitugani hapo.
 
wewe mwenyewe(mchaga) tu ni mwizi hapo kwenye shughuli zako, na sasa unawaza utapeli kitugani hapo.

Markj sikiliza vizuri, damu yangu haijawahi hata kwa kizazi cha nane kuhusishwa na uchaga. Nilisoma uchagani enzi za kutoa wanafunzi mikoa ya mbali Tanzania na huko ndiko zilikua shule nyingi za serikali pia. Ila tu I never argue with a ......... I am afraid I may belong to them!!! Tamati.
 
Markj sikiliza vizuri, damu yangu haijawahi hata kwa kizazi cha nane kuhusishwa na uchaga. Nilisoma uchagani enzi za kutoa wanafunzi mikoa ya mbali Tanzania na huko ndiko zilikua shule nyingi za serikali pia. Ila tu I never argue with a ......... I am afraid I may belong to them!!! Tamati.

poa mangi! hamna neno, wape salamu rombo hapo, hahaha!
 
interview imefanyika jana pale ubungo plaza! na waliwapigia watu simu ijumaa jioni kuwa j1 waende kwenye interview ubungo plaza branch, na imefanyika pale! tena walikuwa na post za ziada za loan officer, kwani wewe hukupigiwa simu? ijumaa au.

mimi wamenipgia jana jion niende kwenye interview kesho ubungo plaza, niko safarini kuelekea huko maana nilikua madongo kuinama huko sumbawanga!
 
mimi wamenipgia jana jion niende kwenye interview kesho ubungo plaza, niko safarini kuelekea huko maana nilikua madongo kuinama huko sumbawanga!

kwaiyo wewe unafanya interview j5 au? simu umepigiwa j3 au? mana post yako muda wake hauendi sawa la computer yangu basi nakuwa ngumu kugundua
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom