Internship Tanzania baada ya kusoma nje

Internship Tanzania baada ya kusoma nje

NOKIALUMIA

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
396
Reaction score
279
Hello guys, kuna course moja nimeipenda ila cha ajabu huko nchi za wenzetu hawana internship ila hapa kwetu Tanzania wanafanya intern. Vipi kama ukisoma unaweza fanya intern bongo au watafanyeje wakati equity!

Karibuni kwa mawazo.
 
Kozi gani?

Kozi za afya ndo zenye internship ya lazima kwenye nchi nyingi duniani, kwa hiyo ukiisoma nje itabidi urudi bongo kuifanya kwa mujibu wa sheria ili uweze kusajiliwa na professional board ya taaluma uliyosomea
 
Ni kweli bro ni kozi ya afya Bachelor of Science in Environmental Health

Kuhusu uombaji wa internship huwa process zipoje

Kozi gani?

Kozi za afya ndo zenye internship ya lazima kwenye nchi nyingi duniani, kwa hiyo ukiisoma nje itabidi urudi bongo kuifanya kwa mujibu wa sheria ili uweze kusajiliwa na professional board ya taaluma uliyosema
 
Hahaha hii imetokea wengi mzumbe wametoka advance na PCB zao wakitarajia health management ni bomba la kozi mpaka pale wanakuja kukutana na hkl darasan
We mtu...
Mimi ni mtu mzima najitambua na najua nini nafanya na ni muajiriwa, serikalini katika sekta ya afya, najua nn nafanya.
Epuka kudharau usiemjua
Hili litakusaidia
 
Hahaha hii imetokea wengi mzumbe wametoka advance na PCB zao wakitarajia health management ni bomba la kozi mpaka pale wanakuja kukutana na hkl darasan
Hahaha..utajiona boya kinoma.

Vijana hawafuatilii haya mambo kwa kina..
 
Huwa nawashangaa watu wanaopoteza hela nyingi kusomea kozi za afya nje ya Tz tena Bachelor. .....
 
Ni bora nionekane mdhaifu kuliko kujibiwa na mtu ambaye hujui chochote kuhusu afya
Wewe unayejua kada ya afya ishu ndogo tu hii ya internship mbona imekutoa knockout hadi umekimbilia hapa JF??
 
Back
Top Bottom