habari zenu wadau.mimi ni ni muhitimu mpya kabisa nimemaliza pale CHUO KIKUU ARDHI (zamani uclas) degree ya kwanza ya sayansi katika usimamizi milki(Property and facilities management/estate management).Natafuta sehemu ya kufanya kazi kwa kujitolea ili kuongeza ujuzi wa vitendo.naomba kuwasilisha