tafadhari wana jf naomba kujua kama kusikiliza free on air radio kupitia internet kuna gharama? maake juzi nilijaribu kuangalia mechi ya simba kupitia mtandao sijamaliza hata dakika tano elfu kumi ikawa imeisha. msaada tafadhari mwenye uzoefu na hili.
Mbona hueleweki, unaongelea kuangalia video au kuskiliza radio? Unapofungua ukurasa wowote kwenye mtandao unadownload bites kadhaa ambazo ni pesa, unapotuma mail yoyote unaupload bites kadhaa ambazo ni pesa;
Mimi huwa naskiliza online radio karibia masaa6 kwa siku, bahati mbaya sjawahi kufuatilia huwa zinakwenda mb ngapi kila saa! Watching online videos ni costly sana kama una ka-plan kakishkaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.