Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Inaonekana nchi zote mzungu anazoziwekea vikwazo hufikia mkwamo na kuhitimisha hiyo hali kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Haya ndiyo yanayoendelea huko Zimbabwe baada ya kuzimwa internet.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndiyo yanayoendelea huko Zimbabwe baada ya kuzimwa internet.
Sent using Jamii Forums mobile app