INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
 
Vifurushi vya wiki kwa hii mitandao ni MB ngapi na ni TZS ngapi?

Vinatoboa wiki?
 
Habarini wakuu.


Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.

Wanao fanya usanii uliyo pitiliza mipaka na VODA - actually kutumia kwangu neno usanii ntakuwa nimewastahi sana - neno sahihi Voda ni: wadanganyifu, hawana hata chembe ya woga wa kuvuna fedha za unsuspecting wateja, matangazo kuhusu bundle/Airtime ni ulaghai mtupu, nimefanya majaribio ya vitu hivyo viwili kwa muda mrefu nikagundua muda na bundle wanazo tangaza ukiweka hela/nunua unakuta inatumia nusu au chini ya kile walicho tangaza/subscribe wanavifanya makusudi, sasa sijui kama baadhi ya wafanyakazi wanachezea billing system, hata sijui!! - Wateja wengi including family yangu wanalalamika sana kuhusu mienendo ya VODACOM.

Kuna umuhimu wa TCRA kufanyia kazi malalamiko ya Watanzania na kuya address timely wanawaibia sana Watanzania maskini kwa kutumia mbinu za ki Cowboy - bundle na Airtime wanazo tangaza ni kiini macho na hii si kwa DATA tu hata upande wa voice. Serikali ipige tafu TTCL hao ndio wanaweza kutuondolea mambo haya ya ndio sivyo yanayo fanywa na baada ya makampuni ya simu Nchini.
 
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.

Mara nyingi unatumia kifurushi gan ndugu!
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
Voda nawaelewa zaidi kwenye kasi iwe mjini au vijijini hawana mpinzani.
Tigo vijijini kasi yao ipo chini zaidi
 
Mi nipo na halotel, niliwakubali mapema sana tokana na kasi ya internet yao na gharama zao kuwa chini ila kwa sasa hapana.

Halotel wamebobea katika wizi wa kimtandao kuliko unavyoweza kufikiri. Ni usanii sana kutuuzia mb bei rahisi halafu zinaisha haraka mno. Zile MB600 za week mwanzoni zilikuwa zinakaa hadi siku 4 kwa kuperuzi, kudownload na ku stream. Leo hii wamezipunguza unapata mb500 ambazo zikimaliza masaa 24 unashukuru mungu. Something is wrong somewhere sio bure.

Pia kingine nachoshangaa huwa nikiingia youtube sikuhizi ni kosa. Yani hata kama nilijiunga bundle lile la GB 1.2 la week nikasema niangalie video mpya ziliotoka labda video 3 tu, nakuwa nimeshajiandaa kisaikolojia kuambiwa nina MB 5 zimebaki baada ya masaa kadhaa kupita.
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
Usiwe unafanya hasty generalization.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa speed smile tanzania mwisho wa maneno. Naitumia kwa mwaka wa pili huu, speed ni hatari, tatizo lao ni coverage tu.
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha

Kwa Voda Nikweli upande wa Net wako vizuri, ,;Ila kifurushi chao cha buku mbili cha GB 3 kwa siku Tano,,sikuizi huwa kinakatwa kabla ya hizo siku Tano ht km hakijaisha bado
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
Voda ndo mpango mzima huku kwetu kanda ya ziwa, mb 1024 kwa buku tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom