Kwa gharama unazotumia kununua hiyo gb 1 kwenye voda. Kwa ttcl unapata mara 2.Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu
Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao
Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu
Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu
Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
Kuhusu speed labda ufafanue. Kwa mjini hasa Dar TTCL HANA MPINZANI maana speed yake ni mara 3 ya huyo voda na mara 5 ya wengine.
Amini nakuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app