INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

Guys am honestly speaking on this. Mm ni mtumiahi wa juu sana wa internet. Kwa wiki natumia Kuanzia GB 100 na kuendelea. Hivyo nahitaji mtandao wa bei nafuu na kasi ili kufanikisha biashara zangu
TiGO. Hawa jamaa wana mtqndao mzuri kwenye baadhi ya maeneo ambayo wana amini yana potential customers. Kama mlimani city. Posta .masaki. Na sehemu muhimu hapa dar. Kwa mikoani sijui
AIRTEL. Hawa jamaa wana vifurushi vikubwa vya bei rahisi sana hasa kama una tumia vocha za UNI. Mtandao wao ni wa kawaida sanaa na pia una kera kama unahitaji spidi. Kwa watu wanaotumia net kwenye sim kwa ajili ya kubrowse na kudownload files ndogo hawezi ku experience hili tatizo
HALOTEL. hawa jamaa wanatumiwa na watu waliochoshwa na huduma za Tigo airtel na voda. Mtandao wao hauna consistency. Leo upo vizuri kesho hamna kitu. Kwa dsm hali ni mbaya sana sasa hivi. Ila juzi nilikua morogoro mjini mtandao upo vizuri kabisa
TTCL. Hawa jamaa wana mtandao wa kasi sana hasa ukiwa baadhi ya maeneo. Ila mtandao wao unakatakata sana hawana stability kabisa. Pia hawa jamaa hawana 2g hivyo basi 4g na 3g zikishake tuu mtandao unakatika kabisa no network hadi utakapo kaa sawa
VODACOM. hawa jamaa nawaheshimu sana. Wanajua nn wanacho kifanya. Mtandao wao upo kasi sana mjini na vijijini. Ukiwa na Edge (E) ya voda unaweza fanya kazi kama kawida utandhani una 3G ya tigo au airtel. Pia 4G yao ni balaa la kutishaaa. Mimi huwa nadoenload hadi MB 7 kwa sekunde 1. Kitu ambacho sijawahi kukiona hapa bongo.
Pia kuna mtandao kama smile. Nasikia net yao ipo poa ila wana bei kubwa ya bandles pia hawana huduma ya sms na voice calls.
Mitandao mingine kama Smart sina experience nao maana hata hawajitangazi
d03e3472ad3f38855e778d82edbe0354.jpg

Ikifika weekend lazima zifike GB 100
NOTE: Natumia internet ya vodacom. Though nimechakachua modem ya Airtel soooooo imekua multipurpose


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ni halotel yatosha kwa sasa. Voda iko ghali kwa matumizi yangu internet kuwa makubwa, TTCL coverage yao ndogo sana, Tigo wahovyo sana na Airtel siipendi tu...
 
Airtel bbalao ukijiunga kifurushi cha chuo kwa sh1000 unpta dkka 10 mitndao yte dkka 100 airtel kwnda airtel na GB 2 za Internet kwa cku tatu alaf spid yke iko poa karb maeneo yte tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vodacom sio kweli mimi natumia voda kwaajili ya internet tu

Nikijiunga gb1 naweza kuangalia video siku. Nzima huwa najiunga saa nne usiku mpaka saa nne usiku ,hapo natizama videos na mambo kibao

Kuhusu spidi hakuna shaka voda ndio inayoongoza kuliko mitandao yote ndio maana binafsi na line ya voda ila kwaajili ya net tu

Tatizo kubwa ya voda ni gharama ila kwa internet hawana mpinzani utafiti nimeufanya kwa dar tu

Gharama ndogo nahisi halotel kama hawajapandisha
Halotel sana speed sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom