INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

INTERNET BUNDLES: Vodacom Vs Tigo Vs Airtel Vs Halotel

b5874c2a260e32cd3ce420cd6da86617.jpg
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.
Wewe vodaunasikia waulize watumiaji wa internet watakumbia me kazi yang u ni kuflash simu Akuna mtandao nisiotunia voda una downlod file mpka mb 5 sec
wawe unacheza
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.
Wewe vodaunasikia waulize watumiaji wa internet watakumbia me kazi yang u ni kuflash simu Akuna mtandao nisiotunia voda una downlod file mpka mb 5 sec
wawe unacheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hakuna mjasiriamali mwenye uwezo wa kugundua ma internet yake kwa kuunnanisha unganisha madude mbali mbali na kuachana na hii ya mmarekani ambayo kwa bongo imekuwa garama za juu kiasi hicho?
 
Airtel bbalao ukijiunga kifurushi cha chuo kwa sh1000 unpta dkka 10 mitndao yte dkka 100 airtel kwnda airtel na GB 2 za Internet kwa cku tatu alaf spid yke iko poa karb maeneo yte tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli kwa bei tu airtel wako vizuri lakini kwa speed ndio wa mwisho kabisa hapa nilipo Lake Zone wilaya furani hivi mjini radio za online hazishiki na utube inakatikakatika kwa 3g

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TIGO wana vifurushi ovyo, vya bei ghali na network ni dhaifu na kasi ni duni.
VODA wana vifurushi vyenye kasi.
AIRTELL haina mpinzani katika kasi na unafuu.
 
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.
airtel
 
Mi ni halotel yatosha kwa sasa. Voda iko ghali kwa matumizi yangu internet kuwa makubwa, TTCL coverage yao ndogo sana, Tigo wahovyo sana na Airtel siipendi tu...
Halotel wananiokoa sana, speed yao ipo vizuri. Huwa natumia kifurushi cha usiku GB 10 kwa 1,500 ambapo mitandao mingine napata 4Gb kwa hiyo bei. Halotel na Airtel ni mkombozi kwangu. Airtel huwa natumia kwa matumizi madogo madogo ya kudownload.
Kama una matumizi makubwa Airtel utalia, speed ya konokono. Halotel ipo poa.
 
Halotel wananiokoa sana, speed yao ipo vizuri. Huwa natumia kifurushi cha usiku GB 10 kwa 1,500 ambapo mitandao mingine napata 4Gb kwa hiyo bei. Halotel na Airtel ni mkombozi kwangu. Airtel huwa natumia kwa matumizi madogo madogo ya kudownload.
Kama una matumizi makubwa Airtel utalia, speed ya konokono. Halotel ipo poa.
Pamoja sana Gregoire's
 
1 gb ya voda huwa natumia masaa 3 tena kwa spidi ya hovyo kabisa. Ila ¹gb ya tigo huwa natumia siku 3 nzima mpaka 4
 
Halotel kwa mb ni habali nyingine ingawa voda kasi yao iko vizur but wana gharama kubwa kwenye vifurushi vyao!
Mi nadhani spidi ya mtandao inategemea na mahali,
Kuna mikoa kwa voda kufungua picha unaweza enda sokoni na ukarudi ukakuta bado.

Kwa vijijini mwanzoni halotell ilikuwa habari nyingine
Siku hizi nao wamekuwa chenga tuu
 
Nimetumia Tigo, voda, halotel, na TTCL. Halotel pale mwanzo walikuwa vizuri sasa hivi sio tena, TTCL vocha shida, mtandao unaweza kata siku nzima, ukitoka nje ya jiji tuu unazingua....nimerudi voda niliowakimbia...voda tatizo gharama tuu ila yupo vizuri sana kwenye internet hasa 4G.
 
Vyoda ndio bora kuliko wote ambapo ukijiunga kifurushi cha ya kwako tu kwa tsh 1000 unapata GB zaidi ya 2 dakika 100 voda kwenda voda na 10 dk mitandao yote na unatumia kwa siku 3 na sio Massa 24 kama mitandao mingine, halafu kuna vifurushi vy a wiki na mwezi kupitia hiyo ya kwako tu unapata vingi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu.

Vifurushi vya internet vinatumaliza sana,makampuni hayaeleweki, kuna kama vifurushi hewa, vifurushi vya uongo.

Halotel wakikwambia una 1.5 GB usiwaamini kabisa, halisi zinakuwa 800 MB, 700 MB ni hewa kabisa.

Voda vifurushi vyao vinaisha haraka sana na havina speed kabsa.Ukiwa Dsm ni balaa zaidi.

Tigo nao vifurushi vyao vinapukutika mno.

Wandugu, ni mtandao gani una vifurushi vizuri, vya bei reasonable na unapatikana maeneo mengi hasa vijijini? Airtel vipi wakuu?

Internet bundles zimekuwa issue sana,

Nawasilisha wandugu.
Airtel ni majanga.

Kwa mujini TTCL ndiyo habari yenyewe. Utawashukuru baada ya kuwalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom