Kisumbo
Member
- Jun 22, 2012
- 52
- 12
Wadau habari nilikuwa naomba wanaojua wanielimishe faida na hasara za izo mitaala miwili katika elimu ya awali , msingi na sekondari achilia mbali swala la gharama. Je ni ipi bora kwa mtoto wa leo ili aweze kukabiliana na changamoto za maisha hapo baadae.
Mfano wa international ni kama IB, Cambridge etc compared with our National curriculum
Thanks in advance
Mfano wa international ni kama IB, Cambridge etc compared with our National curriculum
Thanks in advance