Internal investigation Officer- TRA

Internal investigation Officer- TRA

Kumbuka kuna linalosemwa ONLY SHORT LISTED.....endelea kuwa na subira bila kuwazia mabaya,kikubwa ni kujipa moyo
 
Tulia man TRA huwa wanakaa hata miezi minne kama sio mitatu ndio wanaita.....kwahiyo endelea kuwa mvumilivu, so far i called mtu mmoja ni mkubwa tu pale makao makuu kanivunja moyo sana ingawa alisema huo ndio ukweli kuliko anipe moyo alaf nibweteke.....the thing is husishangae ukisikia tra wanataka wayu watatu tu kwenye hiyo posiyion lakin wakaita watu hata 2000, mfano ni nafasi za accountants
 
Jana niliongea na mtu wa pale aliniambia kuwa wameshashotlist kwaiyo bado tu kupublish majina kwa maana ya kuita, so by mwezi ujao au january mambo yatakuwa fresh
 
mi nangojea wanipigie simu tu nikachukue ajira yangu
 
Jana niliongea na mtu wa pale aliniambia kuwa wameshashotlist kwaiyo bado tu kupublish majina kwa maana ya kuita, so by mwezi ujao au january mambo yatakuwa fresh

Wewe mzinguaji sana, Anyway utawazingua hao hao maboya wenzio
 
tuendelee kupamabana maana hata hao TRA hawakuwahi kutulipia ada so tusibweteke
 
Back
Top Bottom