jamani kalivyo kazuri na vishavu hivyo........ugonjwa wangu huu kuna siku nilienda church mbele yangu kulikuwa na mdada kamshika mtoto mzuri jamani unajua sikusali that day...........nilikuwa nakashangaa ako katoto na jinsi alivyokuwa anamchezea mama yake mara amshike nywele, akikatazwa kanacheka , mara anamvuta mama yake heleni..........duh yani hadi raha.unaonaje haka
watoto ni raha sana my dia,utapenda tu jinsi ngozi yao ilivyo laini,halafu unakuta mikono midogo mizurijamani kalivyo kazuri na vishavu hivyo........ugonjwa wangu huu kuna siku nilienda church mbele yangu kulikuwa na mdada kamshika mtoto mzuri jamani unajua sikusali that day...........nilikuwa nakashangaa ako katoto na jinsi alivyokuwa anamchezea mama yake mara amshike nywele, akikatazwa kanacheka , mara anamvuta mama yake heleni..........duh yani hadi raha.
raha sana sasa vimikono vyake vikushike usoni...........duh tuache tu.watoto ni raha sana my dia,utapenda tu jinsi ngozi yao ilivyo laini,halafu unakuta mikono midogo mizuri
Nione nitakuonyesha kwa kupata kama huyo mamiii.jamani kalivyo kazuri na vishavu hivyo........ugonjwa wangu huu kuna siku nilienda church mbele yangu kulikuwa na mdada kamshika mtoto mzuri jamani unajua sikusali that day...........nilikuwa nakashangaa ako katoto na jinsi alivyokuwa anamchezea mama yake mara amshike nywele, akikatazwa kanacheka , mara anamvuta mama yake heleni..........duh yani hadi raha.
hahahaha...............wakati nakaribia kumpata kama huyo.Nione nitakuonyesha kwa kupata kama huyo mamiii.
Basi japo niambulie kumletea pampers mjomba wangu.hahahaha...............wakati nakaribia kumpata kama huyo.
hapo umenena.Basi japo niambulie kumletea pampers mjomba wangu.
she want to discover something.
unaweza ukajikuta unazaa mpaka unachanganyikiwa.