Intended Only to Women

Intended Only to Women

Hahahahahaha jamani wa mwambia mwenzio achangamkie tenda wakati hata hajaelewa iko yeye kimbia umande hahahahah

Nitafsirie wewe mpenz...huyu hata hawezi kufurahia mafanikio yangu
 
Nimekuwa msomaji JF siku nyingi sana Khantwe kwa hio nachokizungumza khs wewe nina ufahamu nacho. Ila naelewa unachomaanisha lakini!!!!
Cheers!!!!

Hahahaa yan sentensi moja tu hiyo niliyokopi kutoka gugo ndo useme naandika kingredha kizuri.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha jamani wa mwambia mwenzio achangamkie tenda wakati hata hajaelewa iko yeye kimbia umande hahahahah

Huyu mjeuri ujue, daily namsisitiza twende kwa dr wa kingredha ambaye ni Ras Simba, but still kagoma. Hii chance ilikuwa yake kabisa but ndo atatuma PM kwa kihehe sijui hahaha
 
hahahaaaa ras simba anachukua hela ndefu wengine vichwa vigumu khaaaaa shida hii

Yani wewe weka kibubu special kwa ajili ya dr ras simba. Ukifika pale unafundishwa kama mtoto anavyofundishwa a, e, i, o,u. Yani lazima uelewe, otherwise utakuwa na "english proof" kichwani kwako ie "no entrance for english" (dr ras is this sentence correct?)
 
Mweeeeeeeee mie mwaenyewe naona nyota nyota hapa sielewi embu wewe uliye pata kodhi kwa rasi Simba tutafusirie hapa!
Huyu mjeuri ujue, daily namsisitiza twende kwa dr wa kingredha ambaye ni Ras Simba, but still kagoma. Hii chance ilikuwa yake kabisa but ndo atatuma PM kwa kihehe sijui hahaha
 
Mweeeeeeeee mie mwaenyewe naona nyota nyota hapa sielewi embu wewe uliye pata kodhi kwa rasi Simba tutafusirie hapa!

Weeee me nalipa hela ndefu kwa dr ras afu nije niwatafsirie bure bure tu, nani kasema hahaha?
 
Mweeeeeeeee mie mwaenyewe naona nyota nyota hapa sielewi embu wewe uliye pata kodhi kwa rasi Simba tutafusirie hapa!

Nnawiki tu nshajua kuongea na kuandika kingereza ngoja nkutafsirie..

Mzungu kasema hivi
Eti anatupenda ladies tunaalikwa kenye begipati ila Khantwe
Asikose
Yani ada yangu ishaliwa.
We rasi simba nataka hela yangu!!!
 
Last edited by a moderator:
Embu ni PM # yako nikutumie ela japo M-Pesa unitafusirie,ila itabidi unitafusirie huko huko PM ili Khantwe asiione thawa mama wewe!
Weeee me nalipa hela ndefu kwa dr ras afu nije niwatafsirie bure bure tu, nani kasema hahaha?
 
Last edited by a moderator:
Weeeee apia! kasema anatupenda teh teh teh Khantwe tumeshatafsiriwa tayari
Nnawiki tu nshajua kuongea na kuandika kingereza ngoja nkutafsirie..

Mzungu kasema hivi
Eti anatupenda ladies tunaalikwa kenye begipati ila Khantwe
Asikose
Yani ada yangu ishaliwa.
We rasi simba nataka hela yangu!!!
 
Last edited by a moderator:
Ehee you mtoa Mada you saying you want a lady? yes me is here follow me PM
Is waiting you came
 
Aaah hapo sawa, check your PM hahahaha nina wiki tu hapa kwa dr ras, ngoja nihitimu sasa mtajutraaaa

Haa kumbe tupo wote class nakuonaga unakaaga infront desk yani nnawiki karibia nafly mwenzako nago to the European to talk on Obama
Weeewe!
Rasi simba kiboko wallah
 
Back
Top Bottom