Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,088
- 136,602
Baada ya kumaliza kuangalia UFC 244 jana usiku, Masvidal vs Diaz for the BMF belt, nikahamia DAZN kuangalia Canelo Alvarez vs Sergei Kovalev.
Hakika jana Jumamosi ya jana ilikuwa siku bomba sana kwa sisi wapenzi wa combat sports.
So you can imagine. I slept late. But thanks to falling back an hour, I got an extra hour of sleep. I woke up kinda late.
Baada ya kuingia JF, nakutana na mada kadhaa za Rais Magufuli kuvunja katiba.
Madai ni kwamba kavunja katiba kwa kumteua CAG mwingine.
Yule aliyekuwepo kamaliza kipindi cha miaka mitano.
Rais kaamua kwenda na mtu mwingine.
Sasa wale anti-Magufuli brigade wamepatwa na hysteria.
Eti Rais Magufuli kavunja katiba.
Unajua bana, saa ingine ukiwa unamchukia sana mtu, hiyo chuki yako ni kama ina-suspend uwezo wako wa kutafakari.
Chuki ni hisia kali. Hisia kali huathiri uwezo wa mtu wa kufikiri kwa mantiki na kiakili.
Ndo hii overreaction ninayoiona hapa.
Guys, intellect over emotions, please.
And for good measure, humility over hubris.
Thank you very much.
Happy Sunday everyone.
Hakika jana Jumamosi ya jana ilikuwa siku bomba sana kwa sisi wapenzi wa combat sports.
So you can imagine. I slept late. But thanks to falling back an hour, I got an extra hour of sleep. I woke up kinda late.
Baada ya kuingia JF, nakutana na mada kadhaa za Rais Magufuli kuvunja katiba.
Madai ni kwamba kavunja katiba kwa kumteua CAG mwingine.
Yule aliyekuwepo kamaliza kipindi cha miaka mitano.
Rais kaamua kwenda na mtu mwingine.
Sasa wale anti-Magufuli brigade wamepatwa na hysteria.
Eti Rais Magufuli kavunja katiba.
Unajua bana, saa ingine ukiwa unamchukia sana mtu, hiyo chuki yako ni kama ina-suspend uwezo wako wa kutafakari.
Chuki ni hisia kali. Hisia kali huathiri uwezo wa mtu wa kufikiri kwa mantiki na kiakili.
Ndo hii overreaction ninayoiona hapa.
Guys, intellect over emotions, please.
And for good measure, humility over hubris.
Thank you very much.
Happy Sunday everyone.