Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 18,787 Reaction score 22,119 Apr 6, 2016 #61 Kujenga hoja ni tatizo kubwa na kunapoteza maana ya hili jukwaa, inawezekana wengi mna point ya msingi lkn namna ya majadiliano mnayotumia yanawafanya muonekane hamfahamu kitu na kufifisha elimu ambayo ingekuwa ni faida kwa wengine.
Kujenga hoja ni tatizo kubwa na kunapoteza maana ya hili jukwaa, inawezekana wengi mna point ya msingi lkn namna ya majadiliano mnayotumia yanawafanya muonekane hamfahamu kitu na kufifisha elimu ambayo ingekuwa ni faida kwa wengine.