Intel just dropped a 22-core CPU...

Ndo maana nasema una matatizo kwenye akili yako....umesahau tunachobishania...haaa haaa haaa haaaa kazi kweli kweli
 
MTOTO WA KUKU embu acha ubishi usi na maana umeambiwa leta link hapa unashindwa nini sasa kutetea hoja unakuja Na personal attack kwa watu humu? Thibitisha hoja yako basi au akili zako ni Sawa na mtoto wa kuku? Maana hata kuku anakuzidi akili kwa Hali hiyo
 
Haaaa haaa haaaa soma kwanza ndo ujibu so unakurupuka tu....unajua tunachobishania?
 
Mkuu Achana kubishana Na MTOTO WA KUKU Hana hoja anabaki kuku provoke tu
 
Nyinyi ndo hamna hoja mnakurupuka kuchangia huku hamjui tunachobishania....
 
Ukisoma vizuri....utajua ninachosimamia acheni kukurupuka tu....
 
Hamna kitu hapa huyu kelele tu kichwan 0
Wewe ndo kelele unakurupuka kuchangia hali hujui tunabishania nini....nyinyi ndo hamna mnalolijua kazi kuongea ongea tu vitu vya uongo....nasimamia ninachokiamini ndo maana nabishana
 
Mimi sijashinda sema umenielewa nilichokuwa nasema...karibu tena
 
Narudia swali......kwani wewe na wenyewe intel wanaotengeneza hizi processor nani anajua zaidi?
Kuna Mambo Mawili Hapa Mtoto Wa Kuku.
Either Hujui Kuhusu Hizi CPU Au Umeelewa Vibaya.

Vivyo Hivyo Leta Mchango Wa Kitaalamu Kama Mwenzako Badala Ya Kumtupia Maneno Ya Dharau Ambayo Yanaonyesha Wazi Kwmb Unamdhohofisha Kwa Kumdharau Na Si Kwa Hoja.
 
Kuna Mambo Mawili Hapa Mtoto Wa Kuku.
Either Hujui Kuhusu Hizi CPU Au Umeelewa Vibaya.

Vivyo Hivyo Leta Mchango Wa Kitaalamu Kama Mwenzako Badala Ya Kumtupia Maneno Ya Dharau Ambayo Yanaonyesha Wazi Kwmb Unamdhohofisha Kwa Kumdharau Na Si Kwa Hoja.
Haaaaa haaaa haaaa duh....na wewe ndo ulivyoelewa?
 
Kitu ambacho sipendi ma-IT wengi/baadhi wanajionaga sana wako juu kuliko wengine!!!
 
Mtoto Wa Kuku Leta Hoja Acha Hadithi Nyiiiingi.

Huwa Mtu Anayetumia Busara Ktk Kujibu Maswali Anaonekana Yupo Right Hata Kama Yupo Wrong.

Mimi Naamini Mleta Uzi Kachemka, Sasa Mtoto Wa Kuku Leta Mchango Wako Kitaalamu Tukuunge Mkono Maana Wewe Umekiri Unajua Kuliko Mleta Uzi.

Nasubiri Mchango Wako Mtoto Wa Kuku.
 
Labda nichukue fulsa hii kusema haya ili ubishani au huu ubishi uishe.....mada hii wakati inaanza kama omesoma pale juu mkuu ameanzisha usi unaosema intel waachia processor yenye speed kubwa kwenye soko yenye core 22......lakini mkuu cheaf mkwawa akasema hiyo processor sio kubwa ni ndogo inashindwa na core i7.....hapo ndipo chanzo cha ubishi ulipoanza....mimi nikamuuliza wewe na kampuni ya INTEL nani anajua kuliko mwenzake....haya wadau kosa langu nini hapo au nimeongea kitu gani kibaya?
 
Inawezekana kwenye huu ubishi nimewakwaza basi mkuu cheaf mkwawa na wengineo mnisamee sana....naamini hili limeishia hapa....
 
Professionals wengi hawaendelei kwa kutokuwa tayari kuskiza mawazo ya wenzao!! Matusi si lugha ya kitaalam, bali ni lugha ya wajinga!!!

Nilifungua huu uzi kujifunza ...ila sijapata nnlichotarajia!! Ivi mnaotumia matusi huko shuleni mmefundishwa ethics???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…