Wewe unafanya makusudi kupotosha kwa kuinsist just a bruteforce. Nikuulize, ukiambiwa ukaue jambazi kwa kutumia bunduki, maarifa pekee utakayokuwa unatumia ni kufyatua risasi? Kama utahitaji skills zingine in combination na kutumia bunduki ni zipi?Kama mmeshindwa kuelewa hata concept ndogo ya kitu kilicholeta mabishano haya, nina mashaka hata kama mnayoyaongelea mnayaelewa.
Hakuna ambaye anabisha kuwa kuna system ambayo haiwezi kuwa hacked.
Ila kinachobishaniwa ni kwamba huwezi kuhack secured system kama instagram kwa brute force mwaka huu wa 2017 uhack insta kwa kutumia just brute force.
Tena mwingine naona anasema ndani ya masaa 72 utakuwa umeweza. If it was that simple aisee insta ingepata shida sana...
Soma bandiko la muanzisha thread soma comments za wadau za mwanzo na majibu yake...Wewe unafanya makusudi kupotosha kwa kuinsist just a bruteforce. Nikuulize, ukiambiwa ukaue jambazi kwa kutumia bunduki, maarifa pekee utakayokuwa unatumia ni kufyatua risasi? Kama utahitaji skills zingine in combination na kutumia bunduki ni zipi?
Haina haja ya kubishan. Tufanye kusubscribe kwa hu uzi. Alaf wale mahacker mtusaidie kuhack account ya instagram hata ya WEMA SEPETU. alaf mkuje na uthibitisho...
Mana hata hakuelewi. Mara brutefosi mara ukwaju, mara github..
Tupeni vitendo aisee
Kama mmeshindwa kuelewa hata concept ndogo ya kitu kilicholeta mabishano haya, nina mashaka hata kama mnayoyaongelea mnayaelewa.
Hakuna ambaye anabisha kuwa kuna system ambayo haiwezi kuwa hacked.
Ila kinachobishaniwa ni kwamba huwezi kuhack secured system kama instagram kwa brute force mwaka huu wa 2017 uhack insta kwa kutumia just brute force.
Tena mwingine naona anasema ndani ya masaa 72 utakuwa umeweza. If it was that simple aisee insta ingepata shida sana...
Soma bandiko la muanzisha thread soma comments za wadau za mwanzo na majibu yake...
Narudia hakuna mtu anayesema kuna system yoyote ambayo haiwezi kuwa hacked, kama yupo huyo mtu basi ni mbu mbu mbu.
Hata kwenye hii thread sijaona mtu anayesema kuwa kuna system haiwezi kuwa hacked.
But kilicholeta ubishi ni njia ambayo muanzisha thread kasema unaweza hack insta, hilo tu.
Mbona kuna vitu vitatu au zaidi ya vitatu amemention?
1)Get kali linux
2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool
3)Hack into his/her account
Una idea anaenda kutumiaje hivyo vitu in combination na skills zake zingine?
Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.Bro, unafahamu hata security policy ya Instagram?
Hivi Kwani nilivopost ile tool niliandika wapi katika thread kwamba unaweza hack insta kwa 'just' bruteforcing? Ile ni tool tu inayoweza kukusaidia wewe kama ukitaka kufanya bruteforcing katika Instagram user account. Ila Hackers wanaelewa huwezi tu ku-jump katika hatua hii ya bruteforcing kabla huja-gather enough information about your target, ndio maana mostly bruteforce attempts zinashindikana because many hackers wanaanza tu na step ya exploitation bila hata kuwa na enough information about their target.
Insta sio secured kama unavodhani, kwani inawezekana ikawa na flaws ambazo hata security engineers wao wenyewe hawajazijua, tena mbaya zaidi ikawa ina 0-day vulnerabilities. (Unadhani kwanini huwa major social networks wanakuwa na Bug Bounty Programme? Kama wangekuwa wanajiamini kwamba system zao zipo secured, je, unafikiri wangekuwa na haja ya kuanzisha hiyo programme?)
Na pia usiseme kwamba Insta itapata 'shida sana', na wakati ni user ndiye anayekuwa affected zaidi.
Bro, andika vitu ukiwa unaelewa unachokiandika.
Really?Si ajabu hafahamu ata Kali Linux ni nini. Pia hajui proper steps za kuhack.
Inawezekana tunabishana na 'Noobs'.
Ataprove vipi details za account yako na hints unazompa ni za kweli? Mfano ukampa hints kuwa password yako inaanza na 0%^ kumbe inaanza na (]{, ni kitu gani kitakachomwaminisha kuwa hizo hints ni za kweli?Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.
Ntakupa 100,000, najua ni ela ndogo ila ni kama challenge ya kuprove ulichokiandika, if yes then lets do it.
Then hatuna haja ya kubishana basi kama unahisi ndivyo hivyo maana inakuwa kama hakuna njia ya kuprove chochote.Ataprove vipi details za account yako na hints unazompa ni za kweli? Mfano ukampa hints kuwa password yako inaanza na 0%^ kumbe inaanza na (]{, ni kitu gani kitakachomwaminisha kuwa hizo hints ni za kweli?
Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.
Ntakupa 100,000, najua ni ela ndogo ila ni kama challenge ya kuprove ulichokiandika, if yes then lets do it.
Watu wanabishanaga kwa vitendo siyo maneno kuna mtu kasema within 74 hours, so if it is not worthy of your work why did you even post that thread?Bro, don't be soo ignorant to dare somebody like that! It's not worthy of my work, kama hutaki kujifunza basi kaa hivo hivo ukijua kwamba Instagram account haiwezi kuwa bruteforced.
Have a life!
Watu wanabishanaga kwa vitendo siyo maneno kuna mtu kasema within 74 hours, so if it is not worthy of your work why did you even post that thread?
Any way like I said lets call it a day.
Explain why will never work. Kwa sababu a single guess hata out of trillions ina probability yake ya kupatia kitu. Naamanisha nini? Naamanisha probability ya kuguess password sio zero. Kwa hiyo umepataje hiyo wrong 100% ?
nani amekataa website haziwi hacked? issue hapa ni ku hack kwa brute force. hivi hata uzi wa huyo unaemtetea umeusoma?Wewe jamaa sometimes unapenda sana ubishi. Unajua kubisha na kudakia kila mada haina maana unaelewa kila kitu? Jamaa ameshakuambia kuwa ikishindikana njia moja, hacker atatumia njia nyingine. Usiinterpret hacking kwa kiwango cha uelewa wako, amini kuwa hackers wapo, na wapo smart. Hackers will always hacker.
Hackers sio crackers au wajinga wajinga kama unavyodhani. Sometimes kuna watu hujiita hackers lakini in real sense they are not even close to it. Jaribu kusoma watu wanaotoa genuine advises, sio kama nyie humu kila kitu mnajua, uone how much does it take to be a hacker:
https://www.quora.com/How-should-I-...dge-of-Java-PHP-or-some-others-of-these-types
Nakupa mfano mzuri, Daniweb: www.daniweb.com ilihackiwa mwaka 2015, data zikawa zinauzwa dark webs, pmoja na kuwa waliotengeneza hiyo web na wanaoisimamia ni advanced IT experts, hawakujua kama walihackiwa mpaka January 2017. Usibishe tu kuonekana mjuaji. Nakupa excerpt ya habari hiyo:
It has come to our attention that some members of DaniWeb have received a notification from ID monitoring companies that have been a cause for concern. These notices report that DaniWeb member accounts have been hacked, and the wording is such that some recipients have contacted us as they are concerned that their login email and password have been compromised.
We have investigated this matter, and concluded that the notifications refer to data being traded on dark web sites, where criminals buy and sell databases of logins from breaches. The DaniWeb breach in question happened back in December 2015 and came to our attention here at DaniWeb in January 2017.
Wewe umeona bruteforce tu katika hayo yote aliyoandika? Niambie kitu kingine ulichoona, halafu niambie ni namna gani anaenda kutumia combination ya hivyo vitu, halafu eleza ni kwa nini unasema haiwezekani.nani amekataa website haziwi hacked? issue hapa ni ku hack kwa brute force. hivi hata uzi wa huyo unaemtetea umeusoma?
usitoke nje ya mada kaa kwenye hoja halafu niambie 2017 unahack vipi instagram na brute force.
Wewe umeona bruteforce tu katika hayo yote aliyoandika? Niambie kitu kingine ulichoona, halafu niambie ni namna gani anaenda kutumia combination ya hivyo vitu, halafu eleza ni kwa nini unasema haiwezekani.
This is completely unethical and illegal, firstly
1)Get kali linux
2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool
3)Hack into his/her account
InstaBrute is a Instagram bruteforce exploit module.
InstaBrute tool
Features:
– Check username existence
– Check password for a given username
– Brute forcer accounts passwords!
Dependencies:
1.Mechanize
2.CookieLib
3.Simplejson
4.OptParse
Usage: instaBrute -h
Example :
python instaBrute.py -f usernames.txt -d dictionary.txt
Download : Instabrute.zip
Source : chinoogawa (Gustavo Nicolas Ogawa) · GitHub
Get arrested for breaching data protection acts and hacking. Great work!
Really though, its not worth it, just get two step verification and then he/she wont be able to get in.
Kwa habari hizo na nyingine nyingi karibu ujiunge na kushiriki https://hakerhub.000webhostapp.com [/quote]
.
mkuu hatupo kwa ajili ya kushindana.In real world bruteforce haifanyi kaz anymore kwenye kudukua password za instagram.To prove me wrong nipe details za mafanikio yako katika kudukua password za instagram accounts in 2017 using bruteforce.kama huna proof ya success yako kwenye hili then i'm out of this topic
Sio kweli kuwa kataja bruteforce tu. Ukisema kitu fulani hakiwezekani, onyesha ni kivipi hakiwezekani.