Inside the Rwanda-Uganda conflict

Inside the Rwanda-Uganda conflict

Tukiweka UTU pembeni lazima tupige pesa mfano time wao wanapigana sisi tunawaomba LATO milk waamishie viwanda huku au tunaweza kuiba wanyama wao

Ili watu wapigane lazima wale so tunaweza kuwauzia misosi

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Huu ni muda mzuri wa kipiga njozi baada ya mlo mzito
 
Huu ni muda mzuri wa kipiga njozi baada ya mlo mzito
Sure lkn tukitaka mgogoro huu utuletee tabu utaleta na tukitaka ulete neema utaleta pia maana kupanga ni kuchagua

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hivi wewe uko Rwanda unataka uwe na mkono dhidi ya Mahasimu wako wa Congo, Nairobi, Tz, Uganda, SA na Burundi inawezekana kweli ?

Alishafanya mauwaji ya hao Mahasimu walioko Nairobi, SA na Burundi. JK alimpa ushauri mzuri sana lakini dunia nzima ilishangaa jinsi alivyo overreact. Kuna uwezekano mkubwa ile overreaction ni kuwa kulikuwa na Mahasimu anawatamani hapa Tz, inawezekana ndio hao ma investors wakubwa walioko Uganda na at that time walikuwa may be walikuwa wana extend muscles zao to Dsm.
Na kuna uwezekano mkubwa mtu ambaye alikuwa aggressive kama JK aliwaita waje wafanye biashara Tz akiwahakikishia ulinzi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure lkn tukitaka mgogoro huu utuletee tabu utaleta na tukitaka ulete neema utaleta pia maana kupanga ni kuchagua

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hakuna neema kwenye situation za namna hizi kwani ni lazima kutakuwepo na collateral damage itakayo athiri Tanzania.
 
Hivi wewe uko Rwanda unataka uwe na mkono dhidi ya Mahasimu wako wa Congo, Nairobi, Tz, Uganda, SA na Burundi inawezekana kweli ?

Alishafanya mauwaji ya hao Mahasimu walioko Nairobi, SA na Burundi. JK alimpa ushauri mzuri sana lakini dunia nzima ilishangaa jinsi alivyo overreact. Kuna uwezekano mkubwa ile overreaction ni kuwa kulikuwa na Mahasimu anawatamani hapa Tz, inawezekana ndio hao ma investors wakubwa walioko Uganda na at that time walikuwa may be walikuwa wana extend muscles zao to Dsm.
Na kuna uwezekano mkubwa mtu ambaye alikuwa aggressive kama JK aliwaita waje wafanye biashara Tz akiwahakikishia ulinzi


Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwete alishindwa hata kwenda ikulu hapo Magogoni kumwambia Magu kaa na wapinzani mjadiliane mdumishe demokrasia badala yake kwny mkutano wa kimataifa huko S/Africa akaenda kumnanga,bila kupepesa macho naye Mzee baba akamjibu 'anawashwa washwa' ikabidi JK ale kona.

So ni kawaida ya JK kupenda kutoa ushauri mbele za jumuiya za kimataifa(kuchukua credits) wkt angeweza akamfuata mhusika akamshauri.,ndio maana PK nae aliona jamaa anazingua tu na ushauri wake.

By the way hivi JK si ndiye aliyesimamia kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar sio 2015?Ndio mwanademokrasia huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikwete alishindwa hata kwenda ikulu hapo Magogoni kumwambia Magu kaa na wapinzani mjadiliane mdumishe demokrasia badala yake kwny mkutano wa kimataifa huko S/Africa akaenda kumnanga,bila kupepesa macho naye Mzee baba akamjibu 'anawashwa washwa' ikabidi JK ale kona.

So ni kawaida ya JK kupenda kutoa ushauri mbele za jumuiya za kimataifa(kuchukua credits) wkt angeweza akamfuata mhusika akamshauri.,ndio maana PK nae aliona jamaa anazingua tu na ushauri wake.

By the way hivi JK si ndiye aliyesimamia kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar sio 2015?Ndio mwanademokrasia huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kushindwa JK kumshauri JPM au kujecha uchaguzi wa Zanzibar haufanyi kuwa haramu Kumshauri PAKA
Kumshauri kwa siri au kwa wazi vilevile hakupunguzi umuhimu wa PAKA kuongea na wenziye na kuyamaliza mafundo yao
JK alijua kabisa uhasimu wa PAKA na nduguze una multiplier effects na ndiyo tinayoyaona leo hapa na ndio maana JK alimwambia hadharani inawezekana kwenye ma vikao yao ya ndani walishaambiana sana huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokwambia ni hivi msimamo wa PK ni hataongea na hao waasi kamwe.

So ushauri wa PK kuongea na hao waasi hautawezekana wao kama wanataka waende Rwanda wamchomoe kibabe hapo madarakani then mchezo umeisha.
Kushindwa JK kumshauri JPM au kujecha uchaguzi wa Zanzibar haufanyi kuwa haramu Kumshauri PAKA
Kumshauri kwa siri au kwa wazi vilevile hakupunguzi umuhimu wa PAKA kuongea na wenziye na kuyamaliza mafundo yao
JK alijua kabisa uhasimu wa PAKA na nduguze una multiplier effects na ndiyo tinayoyaona leo hapa na ndio maana JK alimwambia hadharani inawezekana kwenye ma vikao yao ya ndani walishaambiana sana huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
long explanation but not seeking even a truce its just politician language seeking to convince rather than uprooting the real problem and solving it for good.
 
Acheni ujinga mnajifanya hamjui Kiswahili. kwani Vita ikianza mtaongea Kinyarwanda au Kiswahili?
Hao jamaa sasa hivi watatwangana ingawa ni waHIMA waliotaka kuitawala Maziwa Makuu sasa kimebuma
kalghabaho msina mahala anye wakonongo leche mdundwe wayago
Agwe ukwaju usina mahala, naule ukulonga vibi?
 
Kuna sintofahamu nyingi na za muda mrefu kati ya Uganda ya M7 na Rwanda ya PaKa tofauti na wengi tunavyoiangazia jumla jumla,kufupisha tu ukianzia toka enzi za mapambano ya watutsi tokea uganda wakijaribu kufanya regime change ina kigali kuuangusha utawala wa kihutu wa Habyarimana,M7 used to feel more comfortable with the Late Gen.Fred Gisa Rwigemana ambae alifariki two days before wapiganaji wa Rwandese Patriotic Front hawajavuka mpaka wa uganda na rwanda kuingia rasmi katika ardhi ya rwanda kuondeleza mapambano ya kuitafuta Kigali.Kuhusu kifo chake kuna hadithi yake tata pia,yeye ndio alikua kiongozi wa RPF na ndio angekua kiongozi wa rwanda.M7 aliumizwa sana na kifo cha Gen Rwigema,hakua na jinsi mapambano ilibidi lazima yasonge mbele na lazima pawepo kiongozi,ndio akaibuka kagame ambae ilibidi m7 aanze kujifunza kumzoea na kumuamini na kumtia kwenye plan zake na Gen Rwigema.Then RPF ikasonga mbele ikaingia rwanda na badae yakatokea yaliyotokea ikiwemo kutunguliwa kwa ndege iliyombeba Raia mhutu wa rwanda Habyarimana na mwenzake wa Burundi wakijaribu kutua uwanja wa ndege wa rwanda wakitokea Dar,Tanzania,hakuna anaejua mpaka leo kiuhakika nani waliitungua ile ndege lkn kwa kiasi kikubwa wanahisiwa ni RPF,Japo walikanusha haraka mara tu baada ya tukio kutokea kwamba hawahusiki bali wahutu wenye msimamo mkali waliokua wanapinga mazungumzo ya amani yaliyokua yakifanyika tanzania kati ya habyarimana na RPF kimtindo.Baada ya tukio hilo kila mtu anajua kilichotokea ni mauaji ya kimbari ya watutsi.Mwisho wa siku RPF chini ya PaKa wakachukua nchi.

Sintofahamu za uganda na Rwanda haikuchukua muda zikaanza chini chini,kina Kagame wakihisi their ugandan brothers treated them like kids or as if they supposed to be surbodinate to them,yani kiufupi walihisi M7 anataka kuitawala rwanda na uganda pia na kuwafanya wao vibaraka wake tu.Na kulikua na conversation za wazi kwenye officers mess yao pale kiyovu kati ya kagame akiwa vice president na waziri wa ulinzi kati yake na marehemu patric karegeya wakicomplain kuhusu uganda inavyowatreat.Anyways hivyo ndivyo kutokuaminiana kulivyo anza mpaka kufikia issue za kina kalegeya na nyamwasa kukimbilia uhamishoni badae na yaliyotokea.Ni kwamba kila upande ukaanza kuhisi kuan njama za upande wa pili kutaka kufanya regime change,hofu serious zaidi mwanzo ilianza kwa uganda baada ya uchaguzi 2001,kulijitokeza habari za kikundi cha PRA kikiongozwa na wanajeshi wawili wa uganda col. Antony chakabari na samson mande(google these names kujielimisha zaidi).Iko kikundi trained in rwanda kwa lengo la kumuondo m7 madarakani,badae kukawa na mazungumzo ya pande zote mbili uganda na rwanda na viongozi wa iko kikundi nchini sweden kwa msaada wa jumuia ya ulaya,wakayatuliza.Pia vita ya rwanda na uganda ndani ya congo wakati ule iliacha jeraha kubwa kwa uhusiano wa nchi hizo mbili,inasemekana waganda wengi sana walikufa kwenye ile vita,m7 doesnt wanna let it go mpaka leo.

Pia ni kweli rwanda inaccess na mifumo ya kiintelijensia ya uganda,they monitor everything going on in uganda,iko kitu m7 kinamkosesha raha,ndio mana nae anajibu mapigo kwa kuwaunga mkono RNC -RWANDA NATONAL CONGRESS ya Gen.Kayumba nyamwasa anaeishi uhamishoni south africa ambae kagame amemkosakosa mara kadha kummaliza huko huko south africa akafanikiwa kummaliza patric karegeya kwa kumnyonga kwa mashuka hotelini.

Katika kuidhiti rwanda kujipenyeza kwenye mifumo ya kiusalama ya uganda mwaka jana may 2018 m7 alimfuta kazi IGP wa uganda mganda mwenye asili ya kitutsi General EDWARD KALEKEZI KAYIHURA maarufu kwa jina la KALE KAYIHURA.

View attachment 1044910
Gen.KALE KAYIHURA na mkewe ANGELLA
.Pia vita ya rwanda na uganda ndani ya congo wakati ule iliacha jeraha kubwa kwa uhusiano wa nchi hizo mbili,inasemekana waganda wengi sana walikufa kwenye ile vita,m7 doesnt wanna let it go mpaka leo.


Sentence hiyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagame mnaemuita Dictator Hakuna wa kumfanya kitu Hapa Africa labda wazungu tu,He is latest Genius President of Africa, look about Rwanda after 25 year only!look how the country is Organised! Discipline! Uajibikaji!.kiongozi anajua kua yupo kwa ajili ya raia akifanya mistake ataulizwa sio atahamishwa. Maneno mengine ni Wivu mtupuu! !!
Let me say it again! !Anaekuzidi Akili, anakuzidi na Uwezo tu!!Big head without brain means nothing.

The great leader never seek followers but the followers always attracted by the gift of the Leader. Hapo mpo?

Le President Kagame Forever,King of Africa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nilivyosoma michango mbalimbali humu naona kama PK na M7. wanamatatizo yanayo fanana na kila mtu anajaribu kutumia maadui wa mwenzie kujikinga na nakuhisi anatatua tatizo lakini kumbe ndo wanaongeza tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoweza kufanyika ni Kenyatta kuwaita na kuwashauri what to do coz Jopoma hawezi maana ana-side na PaKa to some extent.

PaKa kaja juzi hapa, kuna kitu waliongea na Jopoma.

Baada ya hayo mazungumzo kati ya PaKa na Jopoma, JaMki naye kaenda Ikulu.....nadhani alienda kumtahadharisha Jopoma awe makini na Paka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom