City Of Lies
Platinum Member
- Sep 8, 2011
- 6,073
- 7,981
""Watu wa hadhi yako,wakazi wanaojielewa, wenye Elimu, Kujenga nje ya mji ni zama zilizopita"
Kwa haya maneno nimegundua wewe ni bonge la mshamba mazee,
Bado hujatembea nchi hii, kwa kuanzia tu, fika uzunguni Dodoma, Kisasa Dodoma uone watu waliojenga majumba yao sehemu ambazo sio "gated"uone watu wanavyoishi.
Gated community, apartments Zina uzuri wake lakini hakuna flexibility ya kuitumia plot yako unavyotaka, huwezi kufanya ujenzi ndani yake.
Heka nzima Mapinga nimejenga nyumba ya ghorofa moja, hapo nina bustani ya matunda, mboga mboga, hivyo vitu huwezi kuvipata kwenye gated community.
Salute mkuu! Sina cha kukomenti ktk uzi huu, umemaliza.