Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,392
- 15,203
Mwaka 2019 nilipopewa kesi nzito ya unyang'anyi wa kutumia siraha( armed robbery ) nilipandishwa mahakamani na kwakuwa kesi hii haina dhamana nilipelekwa gereza la butimba.....kawaida upelelezi wa kesi hii huwa ni ndani ya siku 90 ndipo ukamilike na kesi ianze kusikilizwa...nilipoingia gerezani butimba nilimkuta marehemu mzee hussein chilwan akiwa ni mtuhumiwa wa kesi ya ugaidi toka mwaka 2016......mzee chilwan alinifundisha vitu vingi sana ikiwemo subra utu na utulivu.....innalillah wainnailaih rajiun mzee hussein chilwan .........
