Ingependeza zaidi viongozi wa upinzani wakutane na wa CCM katika majanga

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,654
46,314
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
 
Kutafuta uungwaji mkono kisiasa umesababisha tusiaminiane kwa lolote.
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?!

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
CCM ni WABAGUZI MUDA WOTE WANAWAZA UCHAGUZI tu

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?!

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
Naunga mkono hoja
P
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?!

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
CCM hawataki ni siasa kila sehemu
 
wenyewe wanasema maendeleo hayana chama, lakini wanazuia wengine wasikutane nao, kweli kaama nia ni moja kwanini tusikae pamoja tusaidiane, mbona misibani tunawaona pamoja , kwanini ccm wanajiona wana haki... huo upuuzi unaoitwa itifaki ubaki ulaya, africa sote ni ndugu na kiongozi ni mtumishi wetu sio mungu wetu mpaka wengine wazuie kukutana nae kwenye jambo la kijamii kama lile, ni pale tutapojua kuwa hata misaada inaenda kwa lengo la kujipigia debe kwenye uchaguzi na sio moyo wa huruma kwa wahanga, vinginevyo ingekuwa ni faraja samia kukutana na mbowe na kila mmoja akatoaa mchango wake kuwafaa waathirika.
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
Wanasiasa wa vyama tofauti wakiwa sehemu moja huwa wanachafuana.

HAWAWEZI KUKAA SEHEMU MOJA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
Unachokisema ndicho hasa uleta utengemano kama taifa. Samia anashauriwa vibaya hasa baada ya kugeukia siasa kiuhasama za aina ya JPM. Nina wasiwasi kama kweli alijuwa kuzuiriwa kwa akina Mbowe kwenda kwenye tukio hilo sambamba na uwepo wake. Msemo wa "hamri toka juu" unaotumiwa na jeshi la polis unarejea kwa kasi baada ya kurejea kwa Makonda.
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
Screenshot_20231206-021924.png

ccm walihodhi kila kitu! Ukiwa mgeni ungeweza kuhisi ni msiba wa wanachama wa ccm
 
Kama tunasema sisi ni taifa moja na hatubaguani kwa dini, rangi au itikadi za kisiasa tafsiri nzuri zaidi ya hili ni katika majanga na madhila mbalimbali ya kitaifa.

Katika matukio kama hili la Hanang si ingekuwa jambo bora zaidi hata Mbowe na Rais wakatembelea au kupanga kukutana baadhi ya sehemu zilizoathirika na kuonyesha mshikamano zaidi wa pamoja katika majanga?

Ifike mahali iwe jambo la kawaida viongozi/wanasiasa wa upinzani kukutana na wenzao wa CCM katika mambo ya kijamii yanayogusa maslahi ya watu wengi.
Jana nilishangaa Sana Mbowe kuzuiliwa kisa Rais yuko Kateshi.
 
Back
Top Bottom