Hussein_Mtoro
Member
- Dec 6, 2013
- 8
- 1
Katibu Mkuu wa chama tawala akikagua utekelezaji wa ilani......achen wivu wa kike muacheni Kanali afanye kazi yke
Naona akili zinakutoka kama dada zetu wakiwA mwezini,umesahau kuwa hizo shule ni za ccm,?
Orodhesha ni Sheria gani inayoruhusu wanafunzi kuubiriwa Siasa. poor you
Naona akili zinakutoka kama dada zetu wakiwA mwezini,umesahau kuwa hizo shule ni za ccm,?
Hii ni shule ya ccm amabayo inamilikiwa na umoja wa wazazi wa ccm kwani kipi cha ajabu kukagua shule zao.
Katibu Mkuu wa chama tawala akikagua utekelezaji wa ilani......achen wivu wa kike muacheni Kanali afanye kazi yke
Naona akili zinakutoka kama dada zetu wakiwA mwezini,umesahau kuwa hizo shule ni za ccm,?
Chadema ni chama kinachoongozwa katika misingi ya kilaghai...
Naona akili zinakutoka kama dada zetu wakiwA mwezini,umesahau kuwa hizo shule ni za ccm,?
Elezea ni sheria ipi inakataza.
Chivalo pole sana,hvi ulizaliwa na mama wewe?.umejitoa akili kbs kwa ajili ya CCM mpaka unawatusi wazaz eti huwa wanatokwa na akili,mbaya sana na imeniuma kiukweli maana najua kuna kipindi mama ako alikuwa mwezin lkn bado ulimnyonya maziwa yako ili uish kwanin asingekutupa chin kama akil zimemtoka?,mi sijui siasa ila umeharibu kwa hli mkuu