Ni kweli mkuu maana kama mtu kalala kitandani two years sasa hivi amefikia hatua ya kutembelea magongo ni wazi mwili wake unaendelea kuimarika siku hadi siku kwa hiyo tatizo hilo pia linaweza kuisha unless madakitari wamesema tofautiSwali tamu sana hilo. Maana tunazunguka sana mwisho tutarudi kwa daktari alisemaje? Asante khantwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali tamu sana hilo. Maana tunazunguka sana mwisho tutarudi kwa daktari alisemaje? Asante khantwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ni tatizo la moja kwa moja inategemea ntu na ntu, ningekuwa nina uzoefu wa ndoa labda ningesema kituThread haijaeleza, mimi nime assume ndo moja kwa moja.
Okay, toa msimamo wako, kama ni moja kwa moja unabaki ndoani au unaondoka?
Vaa viatu vya mke.
Kweli kabla hujafa hujaumbika,MUNGU atuepushe,jamaa ana mtihani usio na marking scheme ila makisio tu,hyo hali imemuathiri yeye na mkewe pia,kwa kipind alichonacho mke mwenye busara hawez kukubali kuachika maana ataonekana kwa jicho la ubaya ktk jamii na hata yeye nafsi itamsutaHabari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.
Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.
2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.
Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.
Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.
Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ni tatizo la moja kwa moja inategemea ntu na ntu, ningekuwa nina uzoefu wa ndoa labda ningesema kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwasubiri wazoefu wa ndoa watie hekima zao hapa basiMkuu kama ni tatizo la moja kwa moja inategemea ntu na ntu, ningekuwa nina uzoefu wa ndoa labda ningesema kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa jins ulvoandk yan unataka rafk ako akuachie mkewe dah yan hii duniaHabari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.
Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.
2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.
Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.
Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.
Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa ulizaliwa kwenye Shamba La vitunguu swaumu?Aendelee kula vitunguu swaumu
Mkuu Aiba nini maana ya ndoa?, tunashauriwa kuoa ili mambo kama haya mnakuwa bega kwa bega na mkeo, jamaa kitendo cha kumwambia mke waachane ni ishara ya kukata tamaa kutokana na hali aliyonayo. Mkiwa kwenye ndoa lenu ni moja tuu kwenye shida na raha muwe pamoja unlike kwenye mapenzi lazima mkiambiane nyakati kama hizo. So mke huyo aendelee tuu kukaa na mumewe maana hata angekuwa mke ndo ana matatizo jamaa angekuwa na mchepuko anaenda anapewa mambo anarudi kwa mke wake ingawa mapenzi yangepungua sana tu lakini ile spirit ya mume na mke still bado ipo. Kinachotakiwa mwanamke atafute mtu wa kuwa ana mpa mambo kisha anarudi kwa mumewake kimya kimya na mambo yaendelee.Habari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.
Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.
2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.
Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.
Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.
Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hili tatizo limetokana na mfumo wa neva kwenye uti wa mgongo kutikiswa ndio maaana mawasiliano yamekata. Just the way I think.
Nafikiri hili tatizo limetokana na mfumo wa neva kwenye uti wa mgongo kutikiswa ndio maaana mawasiliano yamekata. Just the way I think.
We
we jamaa ulizaliwa kwenye Shamba La vitunguu swaumu?
Hayo mambo mbona ni ya ndani sana. Ndiyo maana tunashauriwa kutoshiriki tendo la ndoa nje ya ndoa, ni pamoja na kujiimarisha na majanga kama haya. Ndoa si tendo tu, mnakuwa mwili mmoja, kusaidiana kwa shida na raha. Mume wako ndiyo rafiki yako mkubwa. Kama wawili hao wameelewana, hata uume wa bandia mume anaweza kumchezea mkewe.
Mwaka jana walisema ni hali ya muda sababu ya operesheni lkini naona limekuwa tatizo endelevu
Basi kuweni wavumilivuMwaka jana walisema ni hali ya muda sababu ya operesheni lkini naona limekuwa tatizo endelevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuna vitu vinaweza kuja kuuwa urafiki wenu mbeleni mwanzo anaweza kuona ni sawa sababu anataka kutatua tatizo unajua mapenzi yalivyo mkuu yakinoga, hapana aiseee siwezi kukubali ata kama natoa msaadakama hajakuambia ujue atakuwa hajalifikiria...na pindi akingamua ukweli huo nadhani atakuomba umsaidie
Umeeleza hajiwezi na hajimudu;ni lipi jema LA yy kufanya..chagua..
~waachane na mke akaolewe kwingine? Huku familia ikisambaratika..
~au amruhusu mkewe 'achungie' nje ya zizi lao.!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndyo apo tatizo maana ya mbeleni hayajulikani wataelewana kma wanavyoelewana Leo nashindwa ata nimsaidiajeKama mke hataki sawa ila mwambie mshikaji ajiandae kwa lolote kama tatizo lake likiendelea kuwa kama lilivyo. Binafsi nazijua akili za wanawake hawachelewi kubadilisha gia angani hatakama sio wote.
Ingawa wanawake ni watu wa ajabu sana. Si ajabu kuona akianza kudinywa huko nje ataanza kubadilika mazima na kumtenga mume wake wa ndoa.
"mwanamke ajiongeze mwenyewe"
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabla hujafa hujaumbika,MUNGU atuepushe,jamaa ana mtihani usio na marking scheme ila makisio tu,hyo hali imemuathiri yeye na mkewe pia,kwa kipind alichonacho mke mwenye busara hawez kukubali kuachika maana ataonekana kwa jicho la ubaya ktk jamii na hata yeye nafsi itamsuta
Hapo jamaa atumie njia nyingne ya kumridhisha mke japo kidogo mfano atumie viungo vyake vilivyokuwa havina matatizo mfano
1.kidole;kumpapasa na kunanihii navyo sehem ile(wakubwa mmeelewa)
2.mdomo;ampe maneno ya kumtia moyo mke japo yeye ndo mwenye tatizo,pia asione uvivu kulamba chumvi kwa ustadi ili amfikishe(wakubwa mmeelewa)
mengine ajiongeze
POLE YAKE SANA