Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Kabla cjachangia toka ilo tukio litokee jamaa anashiriki tendo la ndoa na huyo mke?au maisha yao ndani ya nyumba yanaendeleaje?
 
Alikosea palepale angemuuliza mgonjwa mbona wazulura hvyo.....afu angechukua simu akampigia mkewe uko wapi...kwa dada angea na huyu....mke angeumbuka......ila kosa limefanyika ndo.leo.muulizane si anakataa tu kuwa haujakutana na dada yake labda umemfananisha....
 
Alikosea palepale angemuuliza mgonjwa mbona wazulura hvyo.....afu angechukua simu akampigia mkewe uko wapi...kwa dada angea na huyu....mke angeumbuka......ila kosa limefanyika ndo.leo.muulizane si anakataa tu kuwa haujakutana na dada yake labda umemfananisha....

Kweli umenena!
 
amsubiri akiaga siku nyengine amfate kwa nyuma akashuhudie anapoenda mkewe ila mume awe makini hata akiaga anaenda dukani pia amfuate nyuma
 
Jamaa ana moyo wa subira!ningekuwa mimi tayari nishamfumua kikojoleo mapemaaa
Jamaa yangu wa karibu ameoa na wana watoto watatu.

Miezi miwili iliyopita wife kamuaga anaenda kwa dada yake kumsaidia kwani yu mgonjwa.

Jamaa akamruhusu bila hiyana. Baadae mchana katika pitapita zake jamaa uso kwa uso na huyo dada aliyetajwa na mkewe kuwa mgonjwa. Kwa ustaarabu jamaa hukumuliza shemeji yake kulikoni mgonjwa kuzurura mjini.

Nae dada mtu akauliza hali ya mdogo wake. Ilipotimu saa 3 usiku mke akarudi kwa maelezo kuwa amechelewa kwa sababu mgonjwa hali yake bado mbaya. Jamaa akampa mkewe pole na bado anatafuta ushauri wa nini cha kufanya.

Je wewe ungefanyaje?
 
Jamaa ana moyo wa subira!ningekuwa mimi tayari nishamfumua kikojoleo mapemaaa

Nadhani kitendo cha kusema bado anaumwa ana mpango baada ya siku kadhaa aombe ruhusa tena hivyo avute subira ataenda tena kuonja.
 
Hilo nalo la kuomba ushauri????? Inamaana yeye ameshindwa kuamua????
 
sasa ukifumua kikojoleo atazaa na nn wakati bado tuna mtt moja tu ndo tuna mpango wa mtt wa pili
 
Subira itakaa mbali sana na mimi kwa muda huo nitamtaiti kwa kifinyo kikali sana hadi atasema tu alipokuwa
 
Mambo mengne cyo hata ya kusimulia watu..sasa hapo ashauriwe nin?
 
Jamaa yangu wa karibu ameoa na wana watoto watatu.

Miezi miwili iliyopita wife kamuaga anaenda kwa dada yake kumsaidia kwani yu mgonjwa.

Jamaa akamruhusu bila hiyana. Baadae mchana katika pitapita zake jamaa uso kwa uso na huyo dada aliyetajwa na mkewe kuwa mgonjwa. Kwa ustaarabu jamaa hukumuliza shemeji yake kulikoni mgonjwa kuzurura mjini.

Nae dada mtu akauliza hali ya mdogo wake. Ilipotimu saa 3 usiku mke akarudi kwa maelezo kuwa amechelewa kwa sababu mgonjwa hali yake bado mbaya. Jamaa akampa mkewe pole na bado anatafuta ushauri wa nini cha kufanya.

Je wewe ungefanyaje?

wala jamaa asiogope coz mkewe alienda kwenye vikoba/vyama vya kinajmama......wajua nwdayz wanawake wanajitahidi sana kujiwezesha. mke mpambanaji huyo!!!!!
 
Back
Top Bottom