Jibu analo mwenyewe anataka ushauri wa nini?? Aaahh! Mpaka napata hasira!!
swali ningekua mimi,jibu ningempeleka kwa dada mgonjwa aendelee kumuuguza kwani ni mgonjwa wa akili ndio maana anazululazulula mtaani.
Alikosea palepale angemuuliza mgonjwa mbona wazulura hvyo.....afu angechukua simu akampigia mkewe uko wapi...kwa dada angea na huyu....mke angeumbuka......ila kosa limefanyika ndo.leo.muulizane si anakataa tu kuwa haujakutana na dada yake labda umemfananisha....
pengine uko anakoenda ndo anakoliwaamle tigo tuu mke wake
Jamaa yangu wa karibu ameoa na wana watoto watatu.
Miezi miwili iliyopita wife kamuaga anaenda kwa dada yake kumsaidia kwani yu mgonjwa.
Jamaa akamruhusu bila hiyana. Baadae mchana katika pitapita zake jamaa uso kwa uso na huyo dada aliyetajwa na mkewe kuwa mgonjwa. Kwa ustaarabu jamaa hukumuliza shemeji yake kulikoni mgonjwa kuzurura mjini.
Nae dada mtu akauliza hali ya mdogo wake. Ilipotimu saa 3 usiku mke akarudi kwa maelezo kuwa amechelewa kwa sababu mgonjwa hali yake bado mbaya. Jamaa akampa mkewe pole na bado anatafuta ushauri wa nini cha kufanya.
Je wewe ungefanyaje?
Jamaa ana moyo wa subira!ningekuwa mimi tayari nishamfumua kikojoleo mapemaaa
pengine uko anakoenda ndo anakoliwa
Jamaa yangu wa karibu ameoa na wana watoto watatu.
Miezi miwili iliyopita wife kamuaga anaenda kwa dada yake kumsaidia kwani yu mgonjwa.
Jamaa akamruhusu bila hiyana. Baadae mchana katika pitapita zake jamaa uso kwa uso na huyo dada aliyetajwa na mkewe kuwa mgonjwa. Kwa ustaarabu jamaa hukumuliza shemeji yake kulikoni mgonjwa kuzurura mjini.
Nae dada mtu akauliza hali ya mdogo wake. Ilipotimu saa 3 usiku mke akarudi kwa maelezo kuwa amechelewa kwa sababu mgonjwa hali yake bado mbaya. Jamaa akampa mkewe pole na bado anatafuta ushauri wa nini cha kufanya.
Je wewe ungefanyaje?
hatoi ng'o na yuko tayari kuenda kusema kwa waumini wa dini, wafikiri wanawake hawana akilisasa ndio nae apate kiduchu
hatoi ng'o na yuko tayari kuenda kusema kwa waumini wa dini, wafikiri wanawake hawana akili