Najaribu kufikiria kama Jamii forums ingekuwa inafanyika sehem ya wazi kama uwanja wa mpira au zaidi ya hapo na hapo kuna haya majukwaa mbali mbali kama ilivo sasa hivi na mtu unaruhusiwa kuchangia post na kumove kutoka jukwaa moja hadi jingine...sasa siwapatii picha wanaokuwa online 24/7 na wanaopenda kuchangia kila post kama kongosho si wangekuwa wanachoka sana kwa kutembea na vipi wale wanaolalamika vitambi si vingeisha kwa kutembea kutoka jukwaa moja hadi jingine?...najaribu pia kufikiria hawa MODS wetu si wangepigwa mawe?....we unadhani jukwaa lipi wangeshikana mashati sana kama sio jukwaa la siasa na dini?...jukwaa la wakubwa si ingekuwa balaa kama BBA..? mi ningekaa zangu jukwaa la utani naondoa stress na mentor....we ungekuwa jukwaa gani kwa mda mrefu....