Ingekuwa ni wewe ungemshaurije?

Ingekuwa ni wewe ungemshaurije?

Nafikiri amekusoma udhaifu wako kwake, jaribu kutua huo mzigo waje waubebe wengine.
Hilo shamba tayari lina mgogoro
 
sasa wote mnapiga masanga babu hapo si mnapika bomu pole pole?
 
alishakosea toka mwanzo..waswahili wasema SAMAK MKUNJE ANGALI MBICHI.
toka mwanzo dogo angeweka misimamo mikali hayo mazoea yasingekuwepo!
wanaume wengi siku hizi wanadekeza sn wanawake hivyo kupelekea mwanamke wako kukuona wee km mwanamke mwenzie..
Kwa hiyo wewe hudekezi mwanamke.
 
hivi hili nalo ni la kuomba ushauri....msaidie dogo bro....hapo sipo...amekamatika .......hajamchumbia wala mahari.....very simple...
 
Kabla hujaingia kwwnue komitmenti zaidi mfano akawa na mtoto wako hapo ndo utajuta ikigombma anakuachia mtoto anakimbia akijua utambembeleza

Ushauri

Mzingue akiemda kwao jikaze kiume mpaka akutafute yeye akinyamaza potelea mbali

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom