Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Mabinti wa hivyo uwa hawabadiliki na hawaridhiki.kuna ukweli mkubwa sana hapo nakubaliana na wewe.Sasa unamshaurije?
Mdogo wako hatoendelea kazi yake itakuwa kumridhisha huyo bidada na mbeleni atamuumiza sana.
Narudia tena, mabinti wa dizaini yake uwa hawaridhiki.
Ushauri tu aachane naye.