Ingekuwa mkeo ungefanyaje?

Ingekuwa mkeo ungefanyaje?

Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.

Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .

Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.

Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .

Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .

Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Huu uzi una code? Au mimi ndo sijui kusoma?
 
Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.

Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .

Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.

Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .

Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .

Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Form hukufanya vizuri kama .......
 
Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.

Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .

Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.

Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .

Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .

Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Ndiyo imeisha au umechoka kuandika?
Mimi bado niko hapa hapa nasubiria part 2, mai wangu.
 
Imagine kama we ndiyo mwalimu na unafundisha mwanafunzi kama huyu. Walimu poleni sana. Mimi nawapenda na kuwaheshimu mno japo jamii inawadharau. Bila nyinyi hatuna taifa.

IMG-20250808-WA0012.jpg
 
Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.

Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .

Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.

Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .

Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .

Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Dah!! Sijalewa, siumwi na wala sina dozi yoyote lakini nimeshindwa kuelewa kitu. Nimetoka kapa
 
Ninachoomba kusema hapa, nikuishauri serikali kupitia wizara ya elimu,kuwa tuongeze jitihada katika ufundishaji wa uandishi bora ili wahitimu waweze japo kuandika ata Aya mbili zenye kuleta maana.

Maana hii ni hatari sasa kwa afya ya akili.
 
Soma tena ulichoandika
😂😂😂 Kweli nimeamini kama ukiwa haujui ni haujui tu. Sasa watu wote hawa wanaongea lugha moja ya kutoelewa uzi unahusiana na vitu gani.
 
Mimi nimeelewa.. aisee mawe ndio kila kitu..uwe mjeda au boda..mawe ndio maishaa.. okotoba tunatikiti
 
Tulia uandike vizuri ili ueleweke.Au nyege zinakusumbua?
 
Ninachoomba kusema hapa, nikuishauri serikali kupitia wizara ya elimu,kuwa tuongeze jitihada katika ufundishaji wa uandishi bora ili wahitimu waweze japo kuandika ata Aya mbili zenye kuleta maana.

Maana hii ni hatari sasa kwa afya ya akili.
Mimi kichaa poq
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom