Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.
Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .
Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.
Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .
Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .
Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .