vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Tukio la Fabrice Muamba limenifanya nifikiri kuwa
kuna watu wengi katika dunia ya tatu wanazikwa
wakiwa hai na hii inatokana na umaskini wetu
unaosababisha kukosa vifaa vya uhakika, kukosa
uwezo wa kuwapa mafunzo zaidi madaktari wetu
pamoja na kushindwa kuwalipa kiuhakika....
Hebu imagine mtu alishindwa kupumua kwa masaa2/moyo haudundi...
kuna watu wengi katika dunia ya tatu wanazikwa
wakiwa hai na hii inatokana na umaskini wetu
unaosababisha kukosa vifaa vya uhakika, kukosa
uwezo wa kuwapa mafunzo zaidi madaktari wetu
pamoja na kushindwa kuwalipa kiuhakika....
Hebu imagine mtu alishindwa kupumua kwa masaa2/moyo haudundi...