Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
kuna jamaa mmoja alichukua demu na kwenda nae gesti, kufika gesti demu akavua nguo zote na kisha kumwambia jamaa kuwa bila elfu 10 hapati kitu...du jamaa akapagawa akaanza kujisachi zikapatikana shilingi 9900, demu akakataa akawa anavaa nguo zake aondoke mala jamaa akasikia pesa ikidondoshwa dilishani kuangalia ilikua shilingi 100....