Hicho kidole hapo kina maanisha nini?
Mhhhh! Huyoni kudume,kumwita mwaya
ni kumtusi mzaramo wa wapi wewe?
pole sana,
mapenzi ni kitu kingine kabisa hebu jirekebishe na ukiri kosa kisha urudi kwa kuomba msamaha wa dhati, huenda ukasamehewa
kula jeuri yako..
Ukiona mtu anakosa moyo wa uvumilivu na kusamehe basi mshukuru Mungu kwa kuwa kaondoka maana inawezekana ungekuja kupata matatizo makubwa zaidi ya hayo ya kuondoka yeye.
Naona tu unalalamika kuwa umeachwa ila hujasema umeachwa kwa sababu gani?Hebu kuwa wazi nasi tujue ulichokifanya mpaka ukaachwa.
Pole lakini kama umekiri makosa yako basi muombe msamaha hata kama haiwezekani kurudiana tena ikiwa yeye ana mwengine ay ameshamua kua hakutaki tena,na inshallah mungu atakupa wepesi..
Anhaaaa! Sikuwaga najua hilo.Wewe unaona kinafanyaje?
Kinakataa dhana ya kumpenda mtu daima...hata kama ameshakuacha!!!
Anhaaa! Nilifikili wamsanga ngongele, bac karabaho.jamani hamuishi maneno mi mzaramo wa mwanalumango
ES umzuri wa sura,rangi yako ilikuwa tiba ya macho yangu,umbile lako hakuna wa kufananisha nae.Nilikupenda nawe ulinipenda tena sana,ni makosa yangu ndiyo yaliyopelekea leo hii umeamua kuniacha na kwenda kwa mwingine,sikulaumu kwa ulichofanya kwani ni kweli makosa nilifanya na vibaya nikakutenda,nahisi adhabu hii itautesa moyo wangu kwa muda mrefu sana kwani tulizoeana sana.Ulijua kucare,mapenzi motomoto lakin tamaa zangu na uzumbukuku wangu ulikukwaza japo ulivumilia kwa muda mrefu.
Leo hii n i mnyonge sana,nakuwaza wewe naomba kama unaweza unisamehe ili turudiane na naahidi kujirekebisha lakini kama waona hakuna nafasi hiyo naomba niseme,WEWE NI MZURI SANA,NILIKUPENDA,NAKUPENDA NA NITAKUPENDA DAIMA INGAWA UMENIACHA.
NB:WANAUME WENZANGU KAMA MWANAMKE ANAKUPENDA KAMWE USIJE UKAMTENDA VISIVYO KWA KUHISI UNAPENDWA ZAIDI.YALIYONIKUTA MIMI NI ZAIDI YA JANGA LEO HII MWANAUME MZIMA MACHOZI YAMENITOKA KWA MAKOSA NILIYOFANYA NA KUNIGARIMU.
KWA WASICHANA NA WANAWAKE WOTE,MTUVUMILIE WANAUME KWA MAMBO MBALIMBAMLI TUNAYOWAFANYIA KWANI NI UDHAIFU TULIONAO NDIO UNAOPELEKEA MAMBO YOTE HAYO.
AHSANTEN.
kweli kabisa kaka,ila inauma sana kumpoteza mtu ambaye unampenda kwa dhati hasa ikiwa wewe ndio chanzo cha matatizo,sikuzaliwe naye kweli ila ukweli ni kwamba nilimpenda sna na tulizoeana sana,she was my girlfriend and true friend at the same time.
Amekutenda?
Umemwaga?
Pole mwaya, utarudi kwa nyumba ndogo yako?
nini kimetokea kati yenu jamani?