Ingawa kuna watu wanasema kwao ni ibada

Ingawa kuna watu wanasema kwao ni ibada

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,317
a026c71e84124de25884221409679369.jpg
 
Hivi Babu Duni naye ana midevu? Nijuavyo ni kwenye majeshi ndio hawaruhusiwi kufuga midevu, lkn kama sheria hiyo ipo serikalini pia, sio mbaya ingawa najiuliza walikuwa wapi siku zote.

Vv
 
Hivi Babu Duni naye ana midevu? Nijuavyo ni kwenye majeshi ndio hawaruhusiwi kufuga midevu, lkn kama sheria hiyo ipo serikalini pia, sio mbaya ingawa najiuliza walikuwa wapi siku zote.

Vv
Yaani mimi sielewi kama ni kweli au la na hili gazeti limenishangazi
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, ningekuwa kwenye utumishi wa serikali ningejuta, kwa jinsi ninavyozipenda hizi ndevu sijui kama ningezinyoa
 
Bora niache kazi, lakini ndevu sinyowi.
Nadhani wataweka picha ya aina ya ndevu zinazotakiwa, maana neno ndevu lina maana pana sana.
Kuna ndevu nyingine ni usumbufu kwa mfugaji na wakati mwingine inaonekana kama utovu wa nidhamu kwa boss wako au kuwatisha wengine.
Au kama inafaa litafutwe vazi kama la wanaofanya operations ili angalau kuficha sehemu ya ndevu nyakati za kazi.
Kwa wale ambao kufuga ndevu ni sehemu ya Ibada yao, wahakikishe ndevu zao kweli zinakuwa kama sunna na si alama ya kuonesha kibuli na utovu wa nidhamu.
 
Hiyo taarifa ni ya taifa gani?mbona huku ofisini watu wanapendeza kama kawaida na ndevu zetu?mleta huu uzi acha uchochezi wa kijinga.
 
Hiyo taarifa ni ya taifa gani?mbona huku ofisini watu wanapendeza kama kawaida na ndevu zetu?mleta huu uzi acha uchochezi wa kijinga.
Mkuu nina watoto wananitegemea. Usiniite mchochezi nyakati hizi ni zingine kabisa. Mimi nimeleta tu hiyo picha ya gazeti na sijasema mimi labda mwandishi na mhariri. Sijajua kama ni habari rasmi au la ndio kisa pia nikaileta JF PHOTOS
 
Back
Top Bottom