TUNATIKI KWA DR SAMIA SULUHU HASSAN.Chawa umetumia VPN kuwaomba hiyo NEC kwani huna namba zao za simu au ofisi zao huzijui ??
Halafu hiyo kura ya urais mbona ni rahisi tu maana mgombea ni mmoja na hakuna mwingine hata usipopiga buku 7 utatumiwa.View attachment 3493274
Labda ukatikise kiuno wewe kidampa wa mafisadi.TUNATIKI KWA DR SAMIA SULUHU HASSAN.
Kwa mfano hapo unaenda kumchagua nani wewe chawa wa mafisadi?Uchaguzi upo na utafanyika na matokeo yatatangazwa...acha kujidanganya utakufa kabla muda wako kwa kisukari
Wewe mwalimu kidampa wa mafisadi safari gani mmeanza au mmesombwa kwenye malori mkajazie kura za kundi kubwa lililopuuza upumbavu huu unaoitwa uchaguzi?Tunawaomba Inec mtujibu haraka ili kama tunaanza safari tuanze kuelekea kwenye vituo tulivyojiandikisha
Tunaenda kutiki kwa mamilioni kwa mamilioni Yani tar. 29 ndo itakuwa mwsho wenu wapiga kelele tunaenda kumpigia KURA Dr SAMIA SULUHU HASSAN KWA KISHINDOWewe mwalimu kidampa wa mafisadi safari gani mmeanza au mmesombwa kwenye malori mkajazie kura za kundi kubwa lililopuuza upumbavu huu unaoitwa uchaguzi?
Halafu hizi habari kwanini usipost kwenye platform za Lumumba maana humu unaingia na VPN unayemsifia ndio kafunga jukwaa.
Naenda kumchagua Daktari Samia Suluhu HassanKwa mfano hapo unaenda kumchagua nani wewe chawa wa mafisadi?View attachment 3494365
Anashindana na nani?Naenda kumchagua Daktari Samia Suluhu Hassan
Umesajili VPN yako kwa mujibu wa sheria TCRA kabla ya kuingia humu??Tunaenda kutiki kwa mamilioni kwa mamilioni Yani tar. 29 ndo itakuwa mwsho wenu wapiga kelele tunaenda kumpigia KURA Dr SAMIA SULUHU HASSAN KWA KISHINDO
Mkuu subri j5 siku zinakimbia sana. Sisi Watanzania wazalendo tunaenda kumpigia KURA za kutosha Dr Samia Suluhu Hassan na wabunge na madiwani wote wa CCMUmesajili VPN yako kwa mujibu wa sheria TCRA kabla ya kuingia humu??
Hakuna kishindo chochote mtachokitoa .
Hivi watu wapo serious kabisa utadhani panafanyika uchaguzi.Husika na kichwa Cha habari hapo,
Kuna watu wanakadi za kupigia kura lakini kazi zao haziwaruhusu kutulia katika eneo moja, Tunawaomba INEC mturuhusu tupige kura ya Rais kwenye kituo kilicho karibu nasi.
Asanteni sana
Anashindana na nani?Nitamchagua Dr. Samia Suluhu Hassan