GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
March Mwaka huu walisema wenyewe Kuwa mifumo imeunganishwa, leo wanajikana
Your browser is not able to display this video.
 
Akizungumzia suala la kuanzisha mchakato wa uboreshaji wa Daftari mtandaoni, Bw. Kailima amesema Tume imejenga mfumo ujulikanao kama OVRS (Online Voters Registration System) utakaomwezesha mpiga kura anayeboresha taarifa zake kuanzisha mchakato mtandaoni na baadae kwenda kwenye kituo ili kukamilisha taratibu na kupata kadi yake ya mpiga kura.

“Uboreshaji wa taarifa kwa njia ya mtandao una masharti, kwa wale ambao wanataka kurekebisha taarifa zao ni lazima wawe na namba ya NIDA, lakini, mpiga kura anayehamisha taarifa zake hatalazimika kuwa na namba ya NIDA….,” amesema Bw. Kailima.

Amefafanua kuwa namba ya NIDA ni muhimu kwa ajili ya kufanya uhakiki wa taarifa za mpiga kura ambazo zinarekebishwa kwenye Daftari.

Uzuri internet ni maktaba kubwa sana

Rejea
 
2010 ulikuwa na umri gani mkuu?
Ulisikia malalamiko ya Dr. Slaa kwenye matokeo ya Urais.
Matokeo yanayotangazwa na tume yalikuwa tofauti na kwenye karatasi walizohesabia vituoni
Athari za kusoma kichwa cha habari nakukimbilia ku comment ndio hii sasa
 
Hili linahitaji uamini viongozi wako.
Unafkiri nani anaweza tawala hii nchi akajengewa hii hoja kama "Umeweka mifuko ya kuandikisha watu hewa" akaichomoa ?
 
Umeelewa lakini nilichoandika au umekurupuka tu kunishambulia baada ya kilevi kukupa nafuu kurejea kwenye utambuzi wa mazingira yanayokuzunguka?

You are afflicted by pseudo-mentality, dude!!!!
 
Umeelewa lakini nilichoandika au umekurupuka tu kunishambulia baada ya kilevi kukupa nafuu kurejea kwenye utambuzi wa mazingira yanayokuzunguka?

You are afflicted by pseudo-mentality, dude!!!!
"...pseudo mentality..."? Is this a new disease! Never head of such a thing; and I am aware of the many "afflictions" that beset humans. Where did you pick up this "pseudo" thing?
 
Well what did you expect from ccm scum burgs, in these offices,!?
Pole pole was senior ccm official, used to be one of the inner circle members of President JPM! The commander in chief,
For God sake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…