GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hatudanganyiki
 
Unaona huo ni mchakato wa kuhitaji ulink na NIDA ili ufanyike ?.

Maelezo yako it means lengo kuu nikupata Idadi kubwa ya waliojiandikisha kupiga kura.

Hivyo kura feki zitaletwa kulingana na idadi ya waliojiandikisha kwenye kupiga kura eneo husika.

Bilashaka unamaana kuna link kati ya mfumo wa iNEC na NIDA na sio daftari kitu ambacho nikawaida coz hakuna namna utaverify NIN kama huna access ya NIDA

NIDA haikupi currently address wala status ya mtu so kutumia NIDA mnaweza andikisha watu MOSHI, KLM ambao wanaishi TABATA, DSM, mnaweza andika marehemu au wagonjwa wasioweza kabisa kupiga kura.

Mifumo ya uongozi wa chini ndio inaweza kuwasaidia kuandaa kura feki kwa usahihi kiasi.

Imani hii sio inaweza sababisha taharuki kubwa miaka yote hivyo inafaa kupuzwa.

Mifumo tarajiwa ya kutrack na kuhifadhi taarifa za makazi kwa kila mtanzania, Ikiwa pamoja na status yake na anapokaa inaweza isiaminiwe na watanzia kwani kwa hoja yako it means huu mfumo utakuwa na mchango mkubwa sana katika hili zaidi ya mfumo wowote ule

Watanzania wakielewa kama ulivyoeleza wewe na wakaamini itakuwa inajengwa chuki na taharuki itayosababisha vita kubwa mno. coz jambo pekee litakuwa linasolve hili itabidi kila aliejiandikisha awe anaulizwa kama kweli alishiriki kupia kura richa yakujiandikisha "ulijiandikisha ndio, je ulipiga kura au hukupiga" ?.

Otherwise unielezee ni kwanamna gani Serikali unayoimani ikiwa madarakani itaniondolea hii hofu iliosababishwa na Imani ya kuto amini michakato.

#KUWA NA IMANI NA SERIKALI YAKO,
 
Kwa taasisi zenye accountability nilitegemea nione hawa wakuu waseme wana karibisha uchunguzi huru wa wadau ili kuji ridhisha lakini wanatoka tu kama madume ya nyani na kusema kuwa sio kweli
Tanzania ni nchi ngumu kuliko uijuavyo mkuu.
Ngumu ngumu Tena ngumu sana.
Amini maneno yangu
 
Kwahiyo watu walitarajia wakubali madai ya polepole! Hayo majibu ni lazima yalitarajiwa tu.
 
Ni aliyetengeneza mfumo ndio amejitokeza kukanusha.

kwa kimombo tunaita guilty consciousness inasumbua Mzee oh sorry kijana kipili nani sijui. Asituchoshe
 
Rejea maneno ya Polepole: ^mfumo ulikuwa na nia njema, ila ukiwa mikononi mwa watu wabaya ni hatari mno.^
 
Hiyo engo alioingia ndo imezibitisha kuwa ni kweli pole polepole kasema kweli * hatakama kama wangekuwaa wameunganisha*
 
NIDA inasidia kupata wapiga kura vivuli.
Je kura zao zinaingiaje kwenye kituo?
Kuna njia kadhaa za kuingiza kura hizo.
Kwahiyo Kama hujui kitu usijione mwerevu sana
 
Kama ingekuwa kweli wangekiri hadharani?
 
Kama kuna mtu kamuelewa polepole anisaidie kueleweshwa vipi kura zinapatikana kwa kuunganisha hiyo mifumo wakati kura zinapigwa kwa makaratasi.
Mchezo unaanzia wakati wa kuandikisha pale. Majina yanaingia kwenye orodha.
Hata wasipotokea kituoni mchezo unakuja kumalizika wakati wa kujumlisha kura za vituo mbali mbali
 
Mkuu..nakuhakikishia daftari la wapiga kura..Lina majina mengi sana ya marehemu, wengine hata hawapo ndani ya nchi, wengine Wagonjwa ambao hata Kwenda kuboresha taarifa zao hawawezi...
Lakini kwakuwa daftari Lina chukua direct majina kutoka NIDA na kuyabandika...unaweza kukuta wewe jina lako lipo Bukoba na hukujiandikisha....
Hivi unaamini wapiga kura millioni 37 wamejiandikisha ?
 
Waruhusu wakaguzi huru waikague hiyo mifumo inayodaiwa kudukuliwa tumalize ubishi hizi tantalila zao kama wapiga debe hatuzihitaji kwa sasa.
 
Waruhusu wakaguzi huru waikague hiyo mifumo inayodaiwa kudukuliwa tumalize ubishi hizi tantalila zao kama wapiga debe hatuzihitaji kwa sasa.
Watavuliwa Nguo Ikikaguliwa
Yaani CCM,INEC,NIDA Wameshikwa Pabaya
 
2010 ulikuwa na umri gani mkuu?
Ulisikia malalamiko ya Dr. Slaa kwenye matokeo ya Urais.
Matokeo yanayotangazwa na tume yalikuwa tofauti na kwenye karatasi walizohesabia vituoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…