GE2025 INEC: Makarani simamieni viapo vyenu kwa kutunza siri

GE2025 INEC: Makarani simamieni viapo vyenu kwa kutunza siri

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaonya makarani watakaotoa taarifa za uchaguzi na kuwataka kusimamia viapo vya utunzaji wa siri katika kipindi chote cha uchaguzi.

Onyo hilo limetolewa na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Njombe Mjini, Samson Meda wakati wa mafunzo kwa makarani waongozaji wa vituo vya kupigia kura katika jimbo hilo.

Soma pia: Asina Omar: Watendaji wa uchaguzi mkaishi viapo vyenu



"Utendaji wenu na uwajibikaji wenu katika kipindi chote cha utumishi wenu kwa Tume mtawajibika kwa tume huru ya taifa ya uchaguzi na sio mamlaka nyingine yoyote, isipokuwa kama jambo hilo litahitajika kwa mujibu wa sheria nyingine ya nchi" amesema Samson Meda

Aidha, Meda amesema katika viapo vya kujiondoa uanachama wa Chama cha Siasa kwa makarani ambao ni wanasiasa, hakuwaondoi moja kwa moja katika vyama vyao isipokuwa ni kwa kipindi kifupi cha utekelezaji wa majukumu ya tume kwa kuwa, kuwa Mwanachama wa Chama chochote cha siasa sio dhambi bali ni haki ya kikatiba.

Makarani 366 wa jimbo la Njombe mjini wameapishwa na kupewa Mafunzo kwa ajili ya kwenda kusimamizi shughuli za uchaguzi katika vituo na maeneo watakayopangiwa na tume.
 
Siri inayotakiwa kutunzwa ni ya kutokumtaja mpigakura kamchagua nani. Mambo mengi yanatakiwa kuwa ya wazi. Hapo ndipo Haki ya kuheshimu upigaji kura litakuwa na uzito
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Siri inayotakiwa kutunzwa ni ya kutokumtaja mpigakura kamchagua nani. Mambo mengi yanatakiwa kuwa ya wazi. Hapo ndipo Haki ya kuheshimu upigaji kura litakuwa na uzito
Sie tutasema tu mabkx yenu yaliyojaa kura nani akae na upuuzi huo.


Uzuti wengi wapo kama mashahidi wa kukusanya vielelezo kuinesha uzandiki wa tume
 
Siri gani ya kuongeza number za wapiga kura hewa?

Hilo tunaelewa tayari kwasababu watu hawatajitokeza kupiga kura.
 
Siri ya nini katika uchaguzi? Nini kinafichwa??
 
Back
Top Bottom