PreGE2025 INEC: Chama kisichosaini kanuni za maadili ya uchaguzi, hakitashiri Uchaguzi

PreGE2025 INEC: Chama kisichosaini kanuni za maadili ya uchaguzi, hakitashiri Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
291
Reaction score
281
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema kwa mujibu wa kanuni Chama kisichosaini kanuni za maadili hakitashiriki uchaguzi.

“Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akizungumza katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Chama kisichosaini hakitapata fursa ya kusimamisha uchaguzi.

 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema kwa mujibu wa kanuni Chama kisichosaini kanuni za maadili hakitashiriki uchaguzi.

View attachment 3300435

“Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akizungumza katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha #AlasiriLaunge #UTV

Chama kisichosaini hakitapata fursa ya kusimamisha uchaguzi.
huenda wakatoboka zaid 🐒
 
Hilo tunalijua na ndio maana hatuna shida na uchaguzi wa nadharia, mbona tumekwishachoka kitambo, safari hii CHAUMA mkae mkao wa kula mtapewa wabunge wa majimbo 20 badala ya covid 19 na mtakua chama kikuu cha upinzani Duniani,
Chadema hakiko tayali kuona wanachama wake na wananchi wanauliwa kama wako nchi za utumwani, waendelee na uchaguzi wao.
 
Kama katiba inasiginwa nini hizo kanuni kama sio kudanganyana. wanaotaka kusaini wakasaini, sisi tunawapenda wananchi wetu waendelee kuishi.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema kwa mujibu wa kanuni Chama kisichosaini kanuni za maadili hakitashiriki uchaguzi.

View attachment 3300435

“Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akizungumza katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha #AlasiriLaunge #UTV

Chama kisichosaini hakitapata fursa ya kusimamisha uchaguzi.
Kwa sababu wao CHADEMA walishasema hawatashiriki sioni kama kuna cha maana watafanya. Msimamo wao unajulikana kuwa hawashiriki
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema kwa mujibu wa kanuni Chama kisichosaini kanuni za maadili hakitashiriki uchaguzi.

View attachment 3300435

“Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akizungumza katika mahojiano maalum kwenye kipindi cha #AlasiriLaunge #UTV

Chama kisichosaini hakitapata fursa ya kusimamisha uchaguzi.
Kabisaaa
 
Lissu yuko wapi?
Lissu akikubali kusaini,NEC watakwenda Keko?
Au Lissu atapelekwa NEC?
 
Maadili gani ya kuruhusu vyombo vya dola kuharibu uchaguzi?
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho Aprili 13 hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu.

Akizungumza na Azam TV, Kailima amesema mgombea hatopata nafasi ya kujaza fomu namba 10 wakati wa kuwasilisha fomu za uteuzi kutokana na chama chake kutosaini maadili ya uchaguzi.
 
Hii ndio tume ambayo tunataka ifanyiwe marekebisho kwa sababu hawawezi kupokea maoni ya wadau wengine wa uchaguzi
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema Chama cha siasa ambacho hakita saini kanuni za maadili ya uchaguzi kesho hakitapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu.
View attachment 3300450
Kwani katiba inasema hivyo? Je hizi kanuni zinatungwa na tume ni kubwa kuliko katiba? Wanaweza wakasaini kisha wasishiriki hakuna shida
 
Back
Top Bottom