Wahitimu wa course hii wanaajiliwa kama weights and measures officer. Ni wakaguzi wa vipimo vinavyotumika ktk biashara kama mizani, pampu za mafuta (shell) pia wakaguzi wa bidhaa zinazofungashwa viwandani.Wakuu naomba kupewa ufafanuzi wa hii kozi na soko la ajira.
Mtu anayesomea hii anajihusisha na nini haswa na soko la ajira likoje Tanzania.