India Inapanga kununua Mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,079
7,976
New Delhi inafikiria kuchangamkia ofa ya mafuta yaliyopunguzwa bei kutoka Urusi, mara tu maswala ya bima ya bidhaa hiyo yatakapotatuliwa.

Kwa kawaida India inaagiza takriban 2-3% ya mafuta yake kutoka Urusi.

80% ya mafuta yote yanayotumika nchini India huagizwa nje kwa jumla - na inaripotiwa kuangalia kuanzisha utaratibu wa biashara ya rupia kuruhusu nchi hizo mbili kufanya biashara nje ya vikwazo.

Serikali ya India pia inatazamia kutumia mbolea ya bei nafuu ya kutok Urusi pia.

Chanzo: RT news


*****************
Nota bene: (( nichukue nafasi hii kuishauri Serikali ya Mh. Samia kugeuzia macho Kremlin maana ndipo kulipo na fursa, hasa katika mafuta )

IMG_20220315_072547_162.jpeg
 
New Delhi inafikiria kuchangamkia ofa ya mafuta yaliyopunguzwa bei kutoka Urusi, mara tu maswala ya bima ya bidhaa hiyo yatakapotatuliwa.

Kwa kawaida India inaagiza takriban 2-3% ya mafuta yake kutoka Urusi.

80% ya mafuta yote yanayotumika nchini India huagizwa nje kwa jumla - na inaripotiwa kuangalia kuanzisha utaratibu wa biashara ya rupia kuruhusu nchi hizo mbili kufanya biashara nje ya vikwazo.

Serikali ya India pia inatazamia kutumia mbolea ya bei nafuu ya kutok Urusi pia.

Chanzo: RT news


*****************
Nota bene: (( nichukue nafasi hii kuishauri Serikali ya Mh. Samia kugeuzia macho Kremlin maana ndipo kulipo na fursa, hasa katika mafuta )

View attachment 2151049
Tatizo lenu ni kukariri pamoja na kutokupenda kusoma na hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi wa kitanzania.

Unafahamu kwamba ukishafanya biashara na Russia huwezi tena kurudi kwenye mfumo wa SWIFT na ukakubaliwa. Unalifahamu hilo lakini au wewe unaongea tu.

Unafahamu masharti aliyopewa China jana kwenye kikao chao cha Rome. Acha porojo za kwenye vijiwe vya tangawizi wewe.
 
Tatizo lenu ni kukariri pamoja na kutokupenda kusoma na hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi wa kitanzania.

Unafahamu kwamba ukishafanya biashara na Russia huwezi tena kurudi kwenye mfumo wa SWIFT na ukakubaliwa. Unalifahamu hilo lakini au wewe unaongea tu.

Unafahamu masharti aliyopewa China jana kwenye kikao chao cha Rome. Acha porojo za kwenye vijiwe vya tangawizi wewe.
Dunia imechangamka sasa kwa dunia hii kila nchi inatafita njia ya kujitoa kwenye mfumo wa western and EU na in long run inawezekana. Kuna nchi zinakoroma na sio kawaida yao na huku US kaufyata mkia.

Hata nchi ZA EU zinajitathmini sana na mfungamano wao na USA
 
Tatizo lenu ni kukariri pamoja na kutokupenda kusoma na hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi wa kitanzania.

Unafahamu kwamba ukishafanya biashara na Russia huwezi tena kurudi kwenye mfumo wa SWIFT na ukakubaliwa. Unalifahamu hilo lakini au wewe unaongea tu.

Unafahamu masharti aliyopewa China jana kwenye kikao chao cha Rome. Acha porojo za kwenye vijiwe vya tangawizi wewe.
Huo mfumo nchi nyingi wanatafuta mbadala wake,, wameshaona ulofa kupelekeshwa.........kuna BRICS mambo yapo jikoni
 
Tatizo lenu ni kukariri pamoja na kutokupenda kusoma na hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi wa kitanzania.

Unafahamu kwamba ukishafanya biashara na Russia huwezi tena kurudi kwenye mfumo wa SWIFT na ukakubaliwa. Unalifahamu hilo lakini au wewe unaongea tu.

Unafahamu masharti aliyopewa China jana kwenye kikao chao cha Rome. Acha porojo za kwenye vijiwe vya tangawizi wewe.
Wewe umeyaona wapi hayo mashariti,
 
Huo mfumo nchi nyingi wanatafuta mbadala wake,, wameshaona ulofa kupelekeshwa.........kuna BRICS mambo yapo jikoni
Shida ndio sasa kwamba ukihamia mfumo mwingine wa malipo basi huwezi kutumia tena SWIFT hivyo hutaweza kufanya biashara na mataifa mengi ya dunia.

Russia ana akiba ya fedha za kigeni (Foreign Exchange Reserve) dola za kimarekani 640 bilioni ambazo sasa zimefungiwa stoo kwenye benki kuu ya Russia kwa maana kwamba hawezi akazitumia kwa sababu ameondolewa kwenye mfumo wa malipo ya SWIFT.

Hizo hela hazijulikani zitakaa humo stoo kwa muda gani sasa niambie hiyo itakuwa ni hasara kiasi gani kwa Russia hadi hela yao imeshaporomoka hadi kufikia USD 1 kwa Ruble 120 kutoka USD 1 kwa Ruble 76 kabla ya uvamizi.
 
Shida ndio sasa kwamba ukihamia mfumo mwingine wa malipo basi huwezi kutumia tena SWIFT hivyo hutaweza kufanya biashara na mataifa mengi ya dunia.

Russia ana akiba ya fedha za kigeni (Foreign Exchange Reserve) dola za kimarekani 640 bilioni ambazo sasa zimefungiwa stoo kwenye benki kuu ya Russia kwa maana kwamba hawezi akazitumia kwa sababu ameondolewa kwenye mfumo wa malipo ya SWIFT.

Hizo hela hazijulikani zitakaa humo stoo kwa muda gani sasa niambie hiyo itakuwa ni hasara kiasi gani kwa Russia hadi hela yao imeshaporomoka hadi kufikia USD 1 kwa Ruble 120 kutoka USD 1 kwa Ruble 76 kabla ya uvamizi.
Uliza hao watakaoenda kufanya nae biashara watatumia mfumo gani........mrusi angekua anatishika na hivyo vikwazo hata kuivamia Ukraine asingeenda au kwa sasa angesitisha mapigano, ila ndo kwanza anazidisha moto. .hizo dola wakanunulie ubuyu kidume hayumbishwi na mashoga
 
Wahindi waoga Sana hawawez mtishia beberu na Kama wakisubutu itakuwa n Pigo kubwa Sana kwa raia wake ambao n wengi Sana ulaya na marekani labda China kidogo anauwezo wa kumdindia beberu
 
Dunia imechangamka sasa kwa dunia hii kila nchi inatafita njia ya kujitoa kwenye mfumo wa western and EU na in long run inawezekana. Kuna nchi zinakoroma na sio kawaida yao na huku US kaufyata mkia.

Hata nchi ZA EU zinajitathmini sana na mfungamano wao na USA
Wewe acha bangi zako, nchi gani za EU zinazotaka kujitenga na Marekani. Grow up you guy.
 
Uliza hao watakaoenda kufanya nae biashara watatumia mfumo gani........mrusi angekua anatishika na hivyo vikwazo hata kuivamia Ukraine asingeenda au kwa sasa angesitisha mapigano, ila ndo kwanza anazidisha moto. .hizo dola wakanunulie ubuyu kidume hayumbishwi na mashoga
Putin analia na vikwazo anasema is a declaration of war, alafu wewe unaongea vitu gani. Ruble inazidi kuwa karatasi kila uchao na soko la hisa la Russia limefungwa na hii ilikuwa haijawahi kutokea.

Vitu Russia vinapanda bei na hakuna ndege ya Russia inayosafiri nje ya nchi hiyo halafu wewe unaongea vitu gani,
 
Uliza hao watakaoenda kufanya nae biashara watatumia mfumo gani........mrusi angekua anatishika na hivyo vikwazo hata kuivamia Ukraine asingeenda au kwa sasa angesitisha mapigano, ila ndo kwanza anazidisha moto. .hizo dola wakanunulie ubuyu kidume hayumbishwi na mashoga
Naona elimu yako ni ndogo sana mambo kama haya yako nje kabisa ya uwezo wako, huwezi kamwe kuelewa. Nafikiri kwa akili yako unafikiri Russia anaweza tu akatembeza kipigo duniani kote na vikwazo vikaondolewa.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom