kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 989
HahaYaani jf kuna vichaa mno
HahaYaani jf kuna vichaa mno
Ndege kuingia kwenye engine za ndege ni tatizo kwenye sehemu nyingi duniani. Kuhusu kuacha matundu... nakushauri ujaribu ku-google jinsi injini za ndege za jet zinavyoundwa na zinavyofanya kazi. Jibu ni ndiyo. Enjini za jet kwa mbele zina uwazi ili kuvuta hewa. Ndege huwa wanavutwa kwa ndani!My take:
Inawezekanaje kunguru kuingia ndani ya engine bila wao kujua?
Ina maaana wameacha matundu makubwa ya ndege mkubwa kama kunguru?
Hilo wanalijua nadhani sababu ya calculation za msukumo wa hewa final ngana na kuweka wavu.Sasa hizi injini wameshindwaga kuziwekea manyavunyavu angalau. Hawa jamaa wafikirie bwn, haezekan tatzo hilo lisiwe na solution!!!
Ungeona watu wanavofurahia panga boi kupata matatizo, halafu wanajiita wazalendo.ingekuwa bombadia povu la leo lingejaa bahari ya pasifiki.
Ni tukio la kawaida kwani injini ya ndege inauwezo mkubwa wa kuvuta kitu chochote kilicho mbele yake, mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili huko marekani mtu mmoja aliyepita mbele ya injini ikiwa imewashwa alivutwa na kusagwa kwenye injini. Uwanja was ndege wa Mwanza ulikuwa na matokeo mengi ya aina hiyo enzi za minofu ya samaki iliyosababishwa na ndege wakubwa waliokuwa wanakula mabaki ya samaki hao.Ndege ya Shirika la ndege la Ujerumani, Condor, imelazimika kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Moi, Mombasa, Kenya, baada ya kunguru wawili kuingia katika injini ya ndege hiyo.
Tukio hilo limetokea dakika chache baada ya ndege hiyo kuondoka visiwani Zanzibar, leo Mei 29, saa 3 asubuhi.
Kwa mujibu wa gazeti dada la Mwananchi, Bussiness Daily, kunguru wawili waliingia kwenye injini ya ndege hiyo.
Polisi wa Viwanja vya Ndege, Pwani, Noah Mviwanda amesema ndege hiyo ilitua salama katika uwanja wa ndege wa Moi, na hakuna abiria yeyote aliyejeruhiwa.
Wakati wanahabari wa Bussiness Daily walipotinga uwanjani hapo, abiria wa ndege hiyo walikuwa wakielekea hotelini.
Mmoja wa abiria ambaye hakutaka kutajwa jina, amesema, wataondoka kwa kutumia ndege nyingine, kesho.
Abiria mwingine, Morris, amesema: “Tunamshukuru Mungu tupo salama, tunakwenda hotelini, hadi kesho tutakaposafiri kwa ndege nyingine.”
My take:
Inawezekanaje kunguru kuingia ndani ya engine bila wao kujua?
Ina maaana wameacha matundu makubwa ya ndege mkubwa kama kunguru?
Haihusu ndege za pangaboi ni jet tu.Kwa hizi ndege screpa za magufuli inawezekana kabisa
Mkuu Bombadier siyo jet, haitakaa itokee.ingekuwa bombadia povu la leo lingejaa bahari ya pasifiki.
Poor you! tofautisha turboprop na jet engines, then leta hoja yako.Kwa hizi ndege screpa za magufuli inawezekana kabisa
Ukafiri ukikuzidi huwezi kuficha chuki zako, unapagawa kama punguwani.
unaudhi sana Uzi mzuri utauharibu kwa upumbavu wakoPoor IQ wakati kila siku kuna wazanzibari wanalilia kwenda Yemen na Somalia kujiunga makundi ya kigaidi, tena wengine wanajifanya nzi na kupanda bure ndege ya 'Emirates' wakifika huko Urabuni wanabadilika.
Nalikumbuka hilo tukio na video yake ili treand sana yani yule jamaa hakujua kwamba amekufa maana alivutwa kwa spidi ya mwanga uji uji wa damu ndio ulitokea nyuma ya injini yani alikufa kifo kibaya sana na inaonyesha alijisahau kupita karibu na injini iliyokolea spidi vibaya mno akavutwa kama kiunyoyaNi tukio la kawaida kwani injini ya ndege inauwezo mkubwa wa kuvuta kitu chochote kilicho mbele yake, mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili huko marekani mtu mmoja aliyepita mbele ya injini ikiwa imewashwa alivutwa na kusagwa kwenye injini. Uwanja was ndege wa Mwanza ulikuwa na matokeo mengi ya aina hiyo enzi za minofu ya samaki iliyosababishwa na ndege wakubwa waliokuwa wanakula mabaki ya samaki hao.
Un
unaudhi sana Uzi mzuri utauharibu kwa upumbavu wako
UchawiNdege ya Shirika la ndege la Ujerumani, Condor, imelazimika kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Moi, Mombasa, Kenya, baada ya kunguru wawili kuingia katika injini ya ndege hiyo.
Tukio hilo limetokea dakika chache baada ya ndege hiyo kuondoka visiwani Zanzibar, leo Mei 29, saa 3 asubuhi.
Kwa mujibu wa gazeti dada la Mwananchi, Bussiness Daily, kunguru wawili waliingia kwenye injini ya ndege hiyo.
Polisi wa Viwanja vya Ndege, Pwani, Noah Mviwanda amesema ndege hiyo ilitua salama katika uwanja wa ndege wa Moi, na hakuna abiria yeyote aliyejeruhiwa.
Wakati wanahabari wa Bussiness Daily walipotinga uwanjani hapo, abiria wa ndege hiyo walikuwa wakielekea hotelini.
Mmoja wa abiria ambaye hakutaka kutajwa jina, amesema, wataondoka kwa kutumia ndege nyingine, kesho.
Abiria mwingine, Morris, amesema: “Tunamshukuru Mungu tupo salama, tunakwenda hotelini, hadi kesho tutakaposafiri kwa ndege nyingine.”
My take:
Inawezekanaje kunguru kuingia ndani ya engine bila wao kujua?
Ina maaana wameacha matundu makubwa ya ndege mkubwa kama kunguru?
ingekuwa bombadia povu la leo lingejaa bahari ya pasifiki.