Yah lazima udate kiukweli.Wewe hukwenda kujiajiri kwa kukosa option, you went there because you chosen that path! Wanaolalamika hapa ni hawa ambao waliambiwa soma mwanangu upate kazi nzuri akili imejengwa hivyo toka ground “0” halafu ghafla unaambiwa kazi amna jiajiri!