Inawezekana siku moja Rostam Aziz akagombea urais wa JMT?

Inawezekana siku moja Rostam Aziz akagombea urais wa JMT?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,303
Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii.

Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania aitakayo?
 
Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii.

Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania aitakayo?

Uraisi wa nini kama yeye ndiye anaendesha nchi kwasasa!
 
Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii.

Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania aitakayo?
Huyu ni king maker and guardian tu, hahitaji hicho cheo.
 
Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii.

Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania aitakayo?
Ni kweli kabisa, hasa ukichukulia kuwa jamii ya ponjoro imeonekana kukubalika sana hapa nchini Ponjoro wa Kinondoni
 
Na akigombea kupitia CDM ataitwa Kamanda na hizi tuhuma zote tutasema amesingiziwa na tutasema mengine tumemsamehe maana ametubu.

tutasema pia kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.

ndani ya viunga vya Hodeidah Yemen
Haitatokea sababu Mbowe siyo Mwenyekiti wa chama tena.
 
Rostam anazo sifa zote za kikatiba kugombea urais wa nchi, zaidi sana amekuwa ni mtu aliye mstari wa mbele kabisa kwa wazi katika kujishughulisha na siasa za juu kabisa za nchi hii.

Inawezekana siku moja tukamuona akitaka kuingia magogoni ofisi namba moja kabisa kufanisha ndoto zake za Tanzania aitakayo?
Ni Mtanzania mwenye sifa za kugombea Urais? Kama ana sifa basi nitampigia kura.
 
Back
Top Bottom