Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.

Mkuu MziziMkavu,
Nashukuru sana kwa ushauri wako unaotoa hapa jamvini, mimi na mke wangu tulikuwa tunasumbuliwa sana na Bawasiri vilijitokeza maeneo ya siri zetu na kuwa virefu virefu, tulitumia dawa za hospital lakini wapi na mara nyingine tulikuwa tunavikata kwa wembe mkali lakini bado hatukupona.
Tukaanza tiba ya kutafuna vitunguu swaum na tangawizi kila siku asubuhi na jioni kwa muda wa week 3, kwa sasa vinyama vimepotea kabisa na wote tumepona.
 
Inawezekana kabisa mkuu cha muhimu kusiwepo na michubuku kati yenu pili epuka matumizi ya vileo kama konyagi ,kwani husababisha mtu kuchelewa kufika kileleni wakati wa tendo na madhara yake panaweza pakatokea michubuko. Lakini pia ni vizuri ukachukua tahadhari ndugu , usiweke kamali maisha yako.
 
Inawezekana kabisa mkuu cha muhimu kusiwepo na michubuku kati yenu pili epuka matumizi ya vileo kama konyagi ,kwani husababisha mtu kuchelewa kufika kileleni wakati wa tendo na madhara yake panaweza pakatokea michubuko. Lakini pia ni vizuri ukachukua tahadhari ndugu , usiweke kamali maisha yako.
Soma vzr, huu uzi kuanzia mwanzo..... Inaonekana hujaelewa kitu..
 
HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni zile cells ambazo kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa cells hizo ni Kichwa cha uume ambao haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia kile kitundu utaona kale ka ngozi kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.

Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue za viungo hivi hazina receptors za HIV.

Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors kwa HIV

Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole hakina receptors hizi unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa virusi hivi

Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama tumbo, kifua, mapaja lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner epithelium cells.

Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu, ukibinua mdomo, Mkunduni.

NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3. MAJI YA UKENI
Ni wakati gani mtoto anaambukizwa. Je, ni akiwa tumboni au wakati wa kuzaliwa?
 
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.
AIDS carrier ndo nini jamaangu du!
 
Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa akipima mara kwa mara yuko vizuri. Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana haamini. Alikuwa ni mmoja wa waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.

Sasa ushasema kapewa chanjo ya majaribio
 
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.

Ndo ivyo bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi chui ataingia, tunatofautiana damu zetu na kinga zetu za miili
 
Sasa ushasema kapewa chanjo ya majaribio
Hata kabla ya chanjo alishatembea na wanawake wengi ambao wametangulia mbele ya haki kwa ugonjwa wa ukimwi. Na wengine kaishi nao.muda mrefu kama mke na mme. Na ndiyo sababu ilimtuma kwenda kupata chanjo maana anasema anajua udhaifu wake uko kwa wanawake.
 
deception...asante sana hakika nimejifunza kitu kikubwa mno tofaut na darasan ambako nilifundishwa tena mimi nahusika na madawa nitajitahidi kuelewesha wengine watakao kuwa teyar....haikuwa kazi nyepes kwako hata sisi tuliotaka kujifunza maana wale ma Dr shallow sometimes wamenitoa kwenye reli niamn sawa na mimi navojua sema sikutaka kupinga maana sikuwa na point ya kupinga ukwel ambao ukifikilia upo wazi...nahitaj kuja kwenye thread ya cancer na kisukar for now
 
Back
Top Bottom