Hongera kwa kuelimika natumai kwa sasa una fikra tofauti juu ya usanii huu.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Zuma's theory.Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya kugegedua, unaweza ukasalimika.
Soma vzr, huu uzi kuanzia mwanzo..... Inaonekana hujaelewa kitu..Inawezekana kabisa mkuu cha muhimu kusiwepo na michubuku kati yenu pili epuka matumizi ya vileo kama konyagi ,kwani husababisha mtu kuchelewa kufika kileleni wakati wa tendo na madhara yake panaweza pakatokea michubuko. Lakini pia ni vizuri ukachukua tahadhari ndugu , usiweke kamali maisha yako.
Ni wakati gani mtoto anaambukizwa. Je, ni akiwa tumboni au wakati wa kuzaliwa?HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni zile cells ambazo kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa cells hizo ni Kichwa cha uume ambao haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia kile kitundu utaona kale ka ngozi kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.
Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue za viungo hivi hazina receptors za HIV.
Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors kwa HIV
Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole hakina receptors hizi unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa virusi hivi
Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama tumbo, kifua, mapaja lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner epithelium cells.
Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu, ukibinua mdomo, Mkunduni.
NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3. MAJI YA UKENI
AIDS carrier ndo nini jamaangu du!Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.
Unaweza kulala na bundi ukaamka mwenye bahati, ila usijaribu, si unajua njia alizopita mwenzio kufanikiwa, ukipta wew utaanguka
Thread kama hii hata ukieleza ushuhuda na ulivyoponea utaonekana tu unao.
Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa akipima mara kwa mara yuko vizuri. Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana haamini. Alikuwa ni mmoja wa waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.
Hata kabla ya chanjo alishatembea na wanawake wengi ambao wametangulia mbele ya haki kwa ugonjwa wa ukimwi. Na wengine kaishi nao.muda mrefu kama mke na mme. Na ndiyo sababu ilimtuma kwenda kupata chanjo maana anasema anajua udhaifu wake uko kwa wanawake.Sasa ushasema kapewa chanjo ya majaribio