Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Nikweli kaka ila mm kunawatu wabish sana humu ndan niltaman wasimvunje moyo deception aokoe Ndugu zetu au angetafuta jinsi ya kusaidia watu
"There are two ways to be fooled. One is to believe what isn't true; the other is to refuse to believe what is true."
~Soren Kierkegaard
 
Nimekuelewa mkuu. Sasa Mkuu bado hapo na shaka, ukienda kupima ukimwi unakuta una HIV + utazidi kukonda hadi kufa mbali na mawazo ni nini kinachoua?
 
Sasa Mkuu mbona watu wanakufa hasa ukizingatia ulipotangazwa miaka ya 1980 huku kwetu bukoba watu walikufa kwa wingi.kama ulivyosema hakuna ukimwi
 
Nina jamaa yangu kaishi na mwanamke miaka mitatu...yule mwanamke akaanza KUUMWA....na alikuwa na dalili zote za a VVU..wanaenda kupima jamaa hana VVU...leo kaoa demu mwingine wanaishi... Ukimwi kupata hadi MCHUBUKO.....ingekuwa hivyo TUNGEKUWA NAO WOTE.. maana wanawake wenyewe TUNA SHARE BILA KUJIJUWA..inapaswa . mwana umchezee ili atoe UTE mwingi na usimchubuwe.....VVU vinaishia juu tu..VVU havipatikani na MAJI..
Au ute wa mwanamke.. Bali vinapatikana kwa DAMU...kama ingekuwa kutembea na mtu mwenye VVU unapata kwa 100% ingekuwa wataalamu hawakushauri kwenda kupima....ingekuwa wanampima mama tu..wakigunduwa ana VVU..basi na baba utakuwa nao..au kama mama hana basi baba nae hana...kwann lazima wapimwe wote?
 
Ingekuwa kila unapojamiiana na aliye na vvu basi na wewe unapata regardless una michubuko au laa dunia ingekuwa ishajifuta mara moja kwa ugonjwa huu.Asingekuwepo anayeishi ktk sayari hii.
Kuna process ndefu hadi kuambukizwa.Usafi ni muhimu ktk mapenzi na pia mapenzi ya tigo yanahatarisha sana mtu kuambukizwa kwani kule hakuna lubricants yoyote,pia denda ni tatizo.
Tuwe na mapenzi salama.
 
Hongera sana kwa Kutambua Kwamba HIV is not easy Virus to catch! lakini ulipoyumba ni hapo kwenye denda yyani mate kiukweli hapo hakuna Hiv virus na sayansi ya bailojia inasema kwamba labda mpaka unywe lita 5 za mate ya mwathirika ndo kuna uwezekana tena mdogo wa ww kuwa kwenye Hatari ya Kupata Maambukizi!
 
Nina jamaa yangu kaishi na mwanamke miaka mitatu...yule mwanamke akaanza KUUMWA....na alikuwa na dalili zote za a VVU..wanaenda kupima jamaa hana VVU...leo kaoa demu mwingine wanaishi... Ukimwi kupata hadi MCHUBUKO.....ingekuwa hivyo TUNGEKUWA NAO WOTE.. maana wanawake wenyewe TUNA SHARE BILA KUJIJUWA..inapaswa . mwana umchezee ili atoe UTE mwingi na usimchubuwe.....VVU vinaishia juu tu..VVU havipatikani na MAJI..
Au ute wa mwanamke.. Bali vinapatikana kwa DAMU...kama ingekuwa kutembea na mtu mwenye VVU unapata kwa 100% ingekuwa wataalamu hawakushauri kwenda kupima....ingekuwa wanampima mama tu..wakigunduwa ana VVU..basi na baba utakuwa nao..au kama mama hana basi baba nae hana...kwann lazima wapimwe wote?
Kama komenti yako ni kweli umenibariki saana
 
Nina jamaa yangu kaishi na mwanamke miaka mitatu...yule mwanamke akaanza KUUMWA....na alikuwa na dalili zote za a VVU..wanaenda kupima jamaa hana VVU...leo kaoa demu mwingine wanaishi... Ukimwi kupata hadi MCHUBUKO.....ingekuwa hivyo TUNGEKUWA NAO WOTE.. maana wanawake wenyewe TUNA SHARE BILA KUJIJUWA..inapaswa . mwana umchezee ili atoe UTE mwingi na usimchubuwe.....VVU vinaishia juu tu..VVU havipatikani na MAJI..
Au ute wa mwanamke.. Bali vinapatikana kwa DAMU...kama ingekuwa kutembea na mtu mwenye VVU unapata kwa 100% ingekuwa wataalamu hawakushauri kwenda kupima....ingekuwa wanampima mama tu..wakigunduwa ana VVU..basi na baba utakuwa nao..au kama mama hana basi baba nae hana...kwann lazima wapimwe wote?
Ingekuwa VVU inapatikana kwa damu, hakuna mwanaume ambae ananyoa salun angebaki salama.
 
Watanzania wengi hawajakomaa katika kufanya mijadala,na ndio maana tunabaki nyuma kiuelewa kwa kuwa tunapoona au kusikia kitu kipya tunaanza na kupinga kwanza kabla ya kuruhusu akili kudadisi au kujiuliza,hii ni mbaya sana.
1.Kuwa makini sana, usije wewe ndio ukawa hauko serious.
2.Unathibitisha vipi kwamba mimi napotosha watu?
3.Una uhakika gani kwamba haya ninayoeleza ni theory zangu?



Wewe umeshajikita kwenye upingaji na umefunga kabisa milango yako ya fahamu kuelewa chochote nitakachoeleza,hivyo nakusikitikia sana kwa kukosa kuujua ukweli huu wa karne,na kuikosa elimu hii kunaweza kukusababishia matatizo makubwa aidha wewe au ndugu zako wa karibu endapo utafikwa na janga hili.
Unachokiongea hapo juu hukielewi kabisa;
1.Hufahamu hata historia ya HIV/AIDS hata kwa tanzania pekee.
2.Hujawahi hata kuhudhuria clinic za watu wanaotumia ARVs na kufanya utafiti.
3.Unaweza kunijibu nimekosea vipi kusema kwamba HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs?
4.Una uhakika unajua ni lini ARVs zilianza kutumika?na ni aina gani za ARVs zalianza kutumika?



Seriously!
Ugonjwa wa AIDS kwa watu wanaotumia ARVs unasababishwa na ARVs na si HIV.Una hoja ya kupinga hilo ninalosema mimi ili tuwape wengine faida?



1.Nikikuuliza ukimwi ni nini utajibu vipi?
2.Unajua ukimwi unasababishwa na nini?
3.Je,unajua kama ukimwi ulikuwepo karne nyingi kabla ya kutangazwa kwa HIV mwaka 1984?



1.Kuna magonjwa mengi yanadhoofisha watu mpaka kufa zaidi ya huu ugonjwa feki wa HIV/AIDS,ni kweli wewe hujui hili?
Mfano mmojawapo wa ugonjwa huo ni TB.Je,unajua kwamba ukiwa na TB muda mrefu utakonda sana,utaishiwa nguvu,unaweza kutapika,unaweza kuharisha kutegemea na aina ya TB,utakosa hamu ya kula,utakuwa na homa mara kwa mara,na ajabu zaidi unaweza ukapimwa HIV na vipimo vikatoa majibu Negative/huna HIV.Je,hizi nilizotaja sio dalili za ugonjwa feki wa HIV/AIDS ulizoambiwa wewe zamani?Huoni kwamba dalili hizo zinafanana?
Kama hayo maelezo ni sahihi,Je,ukimwi ni nini basi?

2.Dawa ya ugonjwa hutegemea na aina ya ugonjwa.Kama ugonjwa ni TB utapewa tiba ya TB na utapona kabisa.



Wewe ndio unaleta siasa kwenye mambo ya msingi.Watu wameshaanza kuelewa,wewe unaleta siasa,hujaleta hata hoja moja ya kisayansi kuthibitisha unachokisema,sasa nani kati ya mimi na wewe analeta siasa?
Ndugu yangu ninakushauri tu.Hata kama umegundua umeingia vibaya kwenye mada hii,usijali kuonekana mdhaifu,hivyo ndivyo mijadala ilivyo,jitahidi kuwa na free mind katika maisha yako ili uwe mwepesi wa kuhoji/kudadisi au kuuliza endapo utakumbana na kitu kipya akilini mwako,usiwe mwepesi wa kupinga tu kila jambo jipya.Utakosa mengi na hasa yale ya muhimu katika maisha yako.
Duuuu nafanya research kuhusu TENOFOVIR, umeitaja hapo juu mbona unapotosha baadhi ya mambo mkuu? HIV is my field of study sijui utanidanganya wapi tho nimesoma Diploma ya HIV University of Manchester Lakini hapo unapotosha watu mkuu.
 
Ninawashukuru wote kwa kutoa muda wenu wa kusoma na kuruhusu akili zenu kuhoji,ninawashukuru pia hata wale waliokuwa wanapinga kwa maana ndio wametufikisha hapa,bila wao pengine kuna mambo nisingeyaongelea.

Kuna mwenzetu mmoja ameshauri kwamba tabia hii ya kudadisi isiishie kwenye mambo haya tu,bali pia tujijenge katika kuhoji mambo mengine na kujali afya zetu kwa kupenda kula vyakula bora.Kuna mwingine aliomba maelekezo jinsi ya kuandaa baadhi ya vyakula vya asili,tutakwenda huko baadaye.

Nimefarijika kuona kumbe pamoja na uzito wa suala hili bado kuna watu wanapenda kujua mambo tofauti,hii itatusaidia sana kubadilika kifikra katika mambo mengine mageni kama hili.Kuna mambo mengi tulishafundishwa huko nyuma na kuona kwamba ndio sahihi,lakini ukweli ni kwamba yako tofauti kabisa na uhalisia,hii ni kwasababu,kuna watu wako kibiashara zaidi na wana mbinu kubwa sana za kudanganya kisayansi ili kurubuni akili za watu.

Mimi nimejijengea tabia ya kuhoji jambo lolote hata kama liko wazi kabisa,nimejijenga katika tabia hii muda mrefu sana tangu niko na miaka takribani 13 hivi.Nilipofika sekondari tabia hii ikazidi sana jinsi masomo yalivyozidi kuongeza ugumu.Hii ikanifanya kupenda zaidi masomo ya sayansi,nilipofika chuo kikuu nikachukua masomo hayohayo ya sayansi katika degree ya kwanza, na degree ya pili nikaendelea kuchukua masomo hayohayo nje ya nchi.Nje ya nchi nilizidi kuwa mdadisi zaidi kutokana na kukutana na tamaduni tofauti za watu.

Baadhi ya masomo yaliyoongeza uwezo wangu wa kufikiri ni Mathematics kama vile Algebra,Quantum Physics,Detection and estimation and Microprocessor programing.Kusoma masomo haya kumenifanya nione kwamba hakuna kitu kisichowezekana duniani kama binadamu ata stretch ubongo wake,na ndio elimu kama hizi watu wenye nia mbaya huzitumia kudhuru wengine ili kufanikisha malengo yao.Nimejieleza kwa ufupi kama mmoja wa wana JF alivyoomba.Nia yangu kubwa hapa ni kwamba,nimeshindwa kuvumilia kukaa na uelewa huu bila kuwashirikisha wengine hivyo ningependa watu wajue ukweli hata kama hawataufanyia kazi,lakini wameshajua,kujua ukweli kutawasaidia watu kwa namna nyingi sana.Kwa kushiriki na wengine elimu hii,nitakuwa nimeondoa dukuduku niliyonayo kwa muda mrefu.

Ningependa pia kuanza mada mpya na muhimu kwa watu wengi.Mada hii haitachukua muda mrefu sana kutokana na jinsi ilivyo.Nataka niwape ukweli kuhusu CANCER/SARATANI.Najua wengi wetu tumedanganywa kwa muda mrefu sana kwamba cancer haina tiba.Waliotudanganya wanaendelea kunufaika kwenye biashara hii kwa kuingiza trillions of dollars kila mwaka kwa kuuza dawa za cancer ambazo haziponyi na vifaa mbalimbali vinavyotumika kwenye hayo matibabu yasiyoponesha.

Ningeomba kupata ushauri wenu kuhusu mjadala huu mpya:Je,tuuendeleze kwenye uzi huu au tuanzishe uzi mwingine?

Kumbukeni:Kuelewa kwenu ndio faraja yangu,mimi nimesaidiwa sana katika maisha yangu tena na watu nisiowajua,hivyo hapa ninaondoa dukuduku moyoni kwa kuwasaidia wengine bila kulipia chochote.Nisingependa kulipwa chochote wakati wowote kwa sababu yoyote kwa kuwa roho yangu inakataa kufanya hivyo.Elimu hii ni bure na nitajitahidi kuitoa kwa kadiri ya uwezo wangu pale ninapokuwa na muda wa kufanya hivyo,cha msingi tu inabidi watu wajenge kumbukumbu ya kupitia humu JF pale wanapohitaji msaada wa kujua jambo fulani kati ya yale niliyokwisha au nitakayo zungumza.
Kaka Deception salam
 
Je watu watumie nn ili hio hali iwaondoke wasipme positive mana watu kweli hatuna marifa

Post sent using JamiiForums mobile app
Njia peke yake ni kuacha kupima..coz vipimo vyenyewe ni feki Mkuu...just live ur life....kula vizuri,fanya mazoezi..lala vizuri thats it..
 
Mkuu H.I.V wanakaa ktk ktk any fluid of the body except mate machoz ..lkn shahawa maziwa ya mama ,,dam kote vinaishi .

Kulala na HIV infected person ikiwa hujatumia condom uwezekano wakutopata HIV inategemea na mlivofanya ,,mfano ..km uke ulikua mkav naww hukumuandaa sasa mchubuko ule unakufanya upate ..lkn km hutopata mchubuko nayeye ulimuloanisha sawa sawa na ukafanya kwa uzuri basi kuna uwezekano wa kutopata .

N.B NIUJINGA KUVAA KONDOM AKATI ULITUMBUKIZA KIDOLE UKEN TENA KIDOLE KILIKUA NA MICHUBUKO YA DAM ,,

PIA ,NIUJINGA KUVAA KONDOM AKAT MLINYONYANA MIDOMO ILI HALI MIDOMO YENU ILIKUA NAMICHUBUKO.

PIA NIUJINGA KUVAA KONDOM ILIHALI ULIMNYONYA MATITI HADI MAZIWA UKAWA UNAYATOA WAKATI MIDOMO YAKO INA VIDONDA ..

Vaa kondom naepukana na njia nyingine zisizosalama .au km VP mcheki dam.(homaaaa hapaaaa
 
Back
Top Bottom