Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Ndiyo inawezekana kabisa kutipata maambukizi ya HIV, ili mradi tu kusuwepo mishubuko, vidonda wakati au kabla ya tendo lakn pia kubuka ajali a kutojikata wakati wa kunyoa maeneo nyeti, usisahau vidondinda katika vidole hususani ukataji wa kucha vidole vya mikono kwani mikono nayo hutumika katika tendo hilo kushikashika na kujifuta. Ndiyo maana leo kuna tohara ya bure kwa wanaume ili kupunguza mambo kama hayo.
 
Inawezekana kama hapakutokea michubuko kwa wote wawili hivyo mwanangu anatakiwa aingie na kufanya pole pole bila msuguano pia alowanisha uume na uke ili kusiwe kukavu kwani ukavu husababisha michubuko lakini muhimu tumia kondom kuepuka maambukizi
 
Wengi wanapata complicationa za PEP nesi mmoja alijichoma na sindano ya mwenye virus akiwa CTC alipopima yeye akawa hana maambukizi akaanzishiwa PEP ilimsumbua maana iliharibu ini jamani aliteseka mno akafariki ila yule kisababishi yupo ndio hapo huwa tunasema Mungu akihitaji atakuchukua kwa njia yoyote ile, na hizo ARV nazo complications zake ni kubwa mno hutumika kwa kuwa hakuna jinsi ila zinatesa sana
 
Wengi wanapata complicationa za PEP nesi mmoja alijichoma na sindano ya mwenye virus akiwa CTC alipopima yeye akawa hana maambukizi akaanzishiwa PEP ilimsumbua maana iliharibu ini jamani aliteseka mno akafariki ila yule kisababishi yupo ndio hapo huwa tunasema Mungu akihitaji atakuchukua kwa njia yoyote ile, na hizo ARV nazo complications zake ni kubwa mno hutumika kwa kuwa hakuna jinsi ila zinatesa sana
ARV's ni hatari sana.
 
Kuna jamaa yangu baada ya kugonga demu ambaye inasemekana ameumia,huwa anajitetea eti unaweza ukalabua kavu na usipate.
Inaweza kua ni njia ya kujitetea lakini pia asemacho ni kweli,tendo la ndoa likikutana tu na mwanamke mwenye maumbile ya maji maji sana huwezi luka na ngoma.vinginevyo HIV kama inavyosemwa ndivyo ilivyo asingekuwepo mzima hata.
 
Inawezekana kabisa...muandae vizur mpka awe mbichi afu piga moko tu, ukijifanya kidume unapga kumi...ndo ujue imekula kwako ushanasa
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.

Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia HIV).

1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;



Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
Someni hizo nondo kisha kama mjadala uanze upya, maana inavyoonekana walio wengi wanaochangia sasa hawakuanzia tokea awali.
 
Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
Vipimo ni feki kivipi? Tafadhari tujulishe mkuu.
 
Back
Top Bottom