Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Sometimes nawaza kuwa huenda hii ndio sababu ya kijana kuachwa atambe anavyotaka kwa kufanya kila aina ya vituko na mambo mengine yasiyoendana kabisa na maadili ya kazi yake pasipo kuguswa na aliemuweka hapo alipo.
Waganga wanasemekana kutoa mashariti ya ajabu ajabu sana na ambayo kuyakubali yataka moyo kwani mengine huifanya hata jamii inayokuzunguka kubaki inakushangaa kama ambavyo wote tunamshangaa Bashite na Baba yake katika hili hivyo huenda hata katika hawa wawili mganga anahusika.
Kwa mfano,tunasikia kuna wanaopewa mashariti ya kutokuoa,wengine kutovaa viatu,kuwafanya wanao mazezeta,n.k mradi tu ni mashariti ya ajabu ajabu ambayo kuyakubali yataka moyo na ambayo ukija kuyakiuka,basi kila kitu kinakuharibikia.
Naomba niishie hapa.
Waganga wanasemekana kutoa mashariti ya ajabu ajabu sana na ambayo kuyakubali yataka moyo kwani mengine huifanya hata jamii inayokuzunguka kubaki inakushangaa kama ambavyo wote tunamshangaa Bashite na Baba yake katika hili hivyo huenda hata katika hawa wawili mganga anahusika.
Kwa mfano,tunasikia kuna wanaopewa mashariti ya kutokuoa,wengine kutovaa viatu,kuwafanya wanao mazezeta,n.k mradi tu ni mashariti ya ajabu ajabu ambayo kuyakubali yataka moyo na ambayo ukija kuyakiuka,basi kila kitu kinakuharibikia.
Naomba niishie hapa.