Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,366
Reaction score
3,687
Kauli za Donald Trump kuhusu mazungumzo kati ya Marekani na Iran zinaonekana kuwa na ukweli fulani, lakini ndani yake kuna muktadha mpana unaohusisha mgawanyiko wa madaraka ndani ya Iran yenyewe.

Nchi hiyo haionekani tena kuwa na msimamo mmoja, hasa kutokana na ushawishi mkubwa wa Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC), ambayo ina msimamo mkali wa kiitikadi na inaonekana kupinga juhudi za maelewano.

Wakati IRGC ikitangaza hatua kama kufunga Strait of Hormuz, taarifa zinasema kuwa Marekani inaendelea na mazungumzo ya siri na baadhi ya wawakilishi wa Iran huko Pakistan, ikijaribu kulipita jeshi hilo na kushirikiana na upande wa pili kwa njia za kidiplomasia.

Hali hii inameanza kuashiria mabadiliko ya kimamlaka ndani ya Iran, ambapo ushawishi wa IRGC unajaribiwa kupunguzwa kwa njia za kidiplomasia na kimkakati kwa Siri.

Mustakabali wake unaweza kwenda njia mbili: aidha IRGC ikubali shinikizo na kulegeza msimamo yake ya itikadi kali, jambo au ibaki na msimamo mkali na hata kusababisha mgogoro wa ndani wa madaraka. Kwa vyovyote vile, kipindi hiki ni nyeti sana kwa Iran.

Time will tell.
 
Mapema leo kulikuwa na tetesi kwamba Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ndiye anayehusika katika mazungumzo na United States. Hata hivyo, licha ya yeye kukanusha taarifa hizo, hali hii inaanza kuashiria uwepo wa mgawanyiko wa madaraka ndani ya mfumo wa uongozi wa Iran, hasa kati ya makundi yenye msimamo mkali wa kiitikadi ndani ya Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC).
 
Na wasiwasi na masoud huenda ndiye anayewadiliana na marekani yule ni kama agenti wa mosadi
 
Kauli za Donald Trump kuhusu mazungumzo kati ya Marekani na Iran zinaonekana kuwa na ukweli fulani, lakini ndani yake kuna muktadha mpana unaohusisha mgawanyiko wa madaraka ndani ya Iran yenyewe.

Nchi hiyo haionekani tena kuwa na msimamo mmoja, hasa kutokana na ushawishi mkubwa wa Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC), ambayo ina msimamo mkali wa kiitikadi na inaonekana kupinga juhudi za maelewano.

Wakati IRGC ikitangaza hatua kama kufunga Strait of Hormuz, taarifa zinasema kuwa Marekani inaendelea na mazungumzo ya siri na baadhi ya wawakilishi wa Iran huko Pakistan, ikijaribu kulipita jeshi hilo na kushirikiana na upande wa pili kwa njia za kidiplomasia.

Hali hii inameanza kuashiria mabadiliko ya kimamlaka ndani ya Iran, ambapo ushawishi wa IRGC unajaribiwa kupunguzwa kwa njia za kidiplomasia na kimkakati kwa Siri.

Mustakabali wake unaweza kwenda njia mbili: aidha IRGC ikubali shinikizo na kulegeza msimamo yake ya itikadi kali, jambo au ibaki na msimamo mkali na hata kusababisha mgogoro wa ndani wa madaraka. Kwa vyovyote vile, kipindi hiki ni nyeti sana kwa Iran.

Time will tell.
Israel defence imekufa kifo cha mende hakuna anayetaka mazungumzo na trump hadi conditions walizotoa iran zifuatwe
Straight of hommurs trump alitoa masaa 48 yamepita ,iran bado ana icontrol
Iran missiles zinaingia israel bila ya kizuizi, mfumo wa iron dome umefeli
Vita siyo kama movie, trump anabadilisha story kila siku, anahangaika mlango wa kutokea hauoni
 

Attachments

  • Screenshot_20260324_085823_Instagram.jpg
    Screenshot_20260324_085823_Instagram.jpg
    159.1 KB · Views: 1
Hali hii inameanza kuashiria mabadiliko ya kimamlaka ndani ya Iran, ambapo ushawishi wa IRGC unajaribiwa kupunguzwa kwa njia za kidiplomasia na kimkakati kwa Siri.
Kwenye wakati wa vita IRGC inakua in control mpaka utulivu urudi so hata wakubaliane na nani mwisho wa siku aliyeshika bunduki ndio mwenye nguvu. Ayatollah pia yupo upande wa IRGC same to Basij na Artesh (kama JWTZ kwa iran). So hakuna deal without IRGC na Ayatollah kuhusishwa
 
Mapema leo kulikuwa na tetesi kwamba Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ndiye anayehusika katika mazungumzo na United States. Hata hivyo, licha ya yeye kukanusha taarifa hizo, hali hii inaanza kuashiria uwepo wa mgawanyiko wa madaraka ndani ya mfumo wa uongozi wa Iran, hasa kati ya makundi yenye msimamo mkali wa kiitikadi ndani ya Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC).
Spika amekanusha, mazungumzo bila Ayatollah ni kupoteza muda
 
Kauli za Donald Trump kuhusu mazungumzo kati ya Marekani na Iran zinaonekana kuwa na ukweli fulani, lakini ndani yake kuna muktadha mpana unaohusisha mgawanyiko wa madaraka ndani ya Iran yenyewe.

Nchi hiyo haionekani tena kuwa na msimamo mmoja, hasa kutokana na ushawishi mkubwa wa Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC), ambayo ina msimamo mkali wa kiitikadi na inaonekana kupinga juhudi za maelewano.

Wakati IRGC ikitangaza hatua kama kufunga Strait of Hormuz, taarifa zinasema kuwa Marekani inaendelea na mazungumzo ya siri na baadhi ya wawakilishi wa Iran huko Pakistan, ikijaribu kulipita jeshi hilo na kushirikiana na upande wa pili kwa njia za kidiplomasia.

Hali hii inameanza kuashiria mabadiliko ya kimamlaka ndani ya Iran, ambapo ushawishi wa IRGC unajaribiwa kupunguzwa kwa njia za kidiplomasia na kimkakati kwa Siri.

Mustakabali wake unaweza kwenda njia mbili: aidha IRGC ikubali shinikizo na kulegeza msimamo yake ya itikadi kali, jambo au ibaki na msimamo mkali na hata kusababisha mgogoro wa ndani wa madaraka. Kwa vyovyote vile, kipindi hiki ni nyeti sana kwa Iran.

Time will tell.
Mwenye kumuamini Trump ni muongo sana kaomba Pakistan iwapatanishe na Mujtaba Khomen kakubali kwa sharti waondoe embargo wakubali Iran awe na Nuclear ya peaceful na warelease pesa zake walizo zifrozen na akubali alikosea navyo sikia Allahu Ya Allam.

Israel lazima ataingia kuvuruga vuruga tu anajua USA akifanya deal yeye atamalizwa.
 
Kauli za Donald Trump kuhusu mazungumzo kati ya Marekani na Iran zinaonekana kuwa na ukweli fulani, lakini ndani yake kuna muktadha mpana unaohusisha mgawanyiko wa madaraka ndani ya Iran yenyewe.

Nchi hiyo haionekani tena kuwa na msimamo mmoja, hasa kutokana na ushawishi mkubwa wa Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC), ambayo ina msimamo mkali wa kiitikadi na inaonekana kupinga juhudi za maelewano.

Wakati IRGC ikitangaza hatua kama kufunga Strait of Hormuz, taarifa zinasema kuwa Marekani inaendelea na mazungumzo ya siri na baadhi ya wawakilishi wa Iran huko Pakistan, ikijaribu kulipita jeshi hilo na kushirikiana na upande wa pili kwa njia za kidiplomasia.

Hali hii inameanza kuashiria mabadiliko ya kimamlaka ndani ya Iran, ambapo ushawishi wa IRGC unajaribiwa kupunguzwa kwa njia za kidiplomasia na kimkakati kwa Siri.

Mustakabali wake unaweza kwenda njia mbili: aidha IRGC ikubali shinikizo na kulegeza msimamo yake ya itikadi kali, jambo au ibaki na msimamo mkali na hata kusababisha mgogoro wa ndani wa madaraka. Kwa vyovyote vile, kipindi hiki ni nyeti sana kwa Iran.

Time will tell.
Kwenye hii vita kuna viongozi wa Iran na Marekani/Isr wanatamani mazungumzo kumaliza vita.
Kuna wengine vita ni biashara
 
Back
Top Bottom