Inawezekana kina sisi ni early version of human being

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Baadhi ya bidhaa za viwandani zikishatengenezwa kwa mara ya kwanza,bidhaa hizo huendelea kuboreshwa kwa kutoa matoleo (models) zilizo bora zaidi kuliko yale matoleo ya awali.

Kwa mfano, Simu za Samsung Galaxy zilianza kutolewa kama Samsung Galaxy I baaadae Samsung Galaxy II zikaja Galaxy III na kuendelea mpaka sasa tuna Galaxy 8.

Mara nyingi toleo la mwanzo linakuwa na ubora wa chini kuliko tolea la pili na toleo la pili linakuwa na ubora mdogo kuliko toleo la tatu na hali huwa ni hiyo kwa matoleo yanayofuatia.

Katika simu, kila toleoa wanaboresha uwezo wa camera(megapixel),storage capacity(GB),n.k na pia kuongeza vitu vipya kwa lengo la kuongeza ubora.

Nikirudi kwa kina sisi, huenda hali ndio hiyo hiyo na inawezekana sisi ndio tulikuwa tolea la mwanza kabisa na ndio maana ubora wetu kiakili, maarifa,n.k uko chini kuliko wenzetu walio katika mabara mengine ambao inawezekana wao walikuja kama matoleo ya baadae na kila toleo liliwekwa kwenye bara lake na ndio maana wenzetu wako vizuri kutuzidi katika mambo mengi.

Nikikumbuka na ule uvumbuzi kuwa mtu wa kwanza(alieshi miaka mingi) alipatikana wapi ndio kabisa nahisi niko sahihi.

Haya ya mambo ya mtoto mpendwa wa mfalme na jinsi tunavyoyashugulia ndio kabisa yananifanya niendelee kuamini hivi na mada ya bwana Paskali ya leo kuhusu mwanamfalme huyo ndio kabisa imenifanya niwaze zaidi.

Maradhi sisi, ujinga sisi, njaa sisi,v ita sisi, umasikini sisi, utawala mbovu sisi, n.k.

Nadhani sisi tuna tatizo kubwa sana la asii ambalo huenda chanzo chake ni nature na ndio maana hata elimu zetu ni kama hazitusaidi sana.

Mtazamo huu niliuleza kwa kirefu zaidi katika hii mada hapa chini.

Inawezekana uumbaji wa binadamu ulifanywa kwa majaribio
 
Usipende kugeneralise. Sema wewe ndio 1st edition sio akina sisi. Kama uwezo wako kiakili na kimaaarifa ni mdogo ni ww pekee yako, usiassume kila mtu ni kilaza mkuu.

Unamfahamu Mtanzania anaitwa Erasto Batholomeo?? mwaka 1950 alidadisi kitu kinayoitwa "mpemba effect" ambayo mpk leo hakuna mtu yoyote duniani amewahi kutoa jibu sahihi.

Dangote anaeza akawaajiri wananchi wote wa Canada na kuwalipa mishahara miaka kadhaa. Kiufupi utajiri wa Dangote ni sawa na kuwajumlisha D. Trump, Oprah, Branson na chenji inabako.
 
Kuna watu wanafikiri hao wazungu waliibuka tu kuwa hapo walipo,yani leo mtu anatizama mambo yanayotokea marekani halafu analinganisha na afrika au Tz.
 
Yawezekana upo sahihi. Maana kuna vitu vingi ukiviangalia unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa huku kwetu.
 
Usipende kugeneralise. Sema wewe ndio 1st edition sio akina sisi. Kama uwezo wako kiakili na kimaaarifa ni mdogo ni ww pekee yako, usiassume kila mtu ni kilaza mkuu.

Unamfahamu Mtanzania anaitwa Erasto Batholomeo?? mwaka 1950 alidadisi kitu kinayoitwa "mpemba effect" ambayo mpk leo hakuna mtu yoyote duniani amewahi kutoa jibu sahihi.

Dangote anaeza akawaajiri wananchi wote wa Canada na kuwalipa mishahara miaka kadhaa. Kiufupi utajiri wa Dangote ni sawa na kuwajumlisha D. Trump, Oprah, Branson na chenji inabako.
Hawa ni vijana wa kitanzania ambao kwa bahati mbaya hawajielewi. Hajui kwamba huko Marekani madaktari bora kabisa ni Wanigeria, hajui kwamba huko huko Marekani wahandisi wanaojenga fly overs za maana ni waafrika na watanzania wakiwemo.

Mleta mada ningeweza kumuelewa iwapo angeniambia kuwa waafrika tuna matatizo ya kutopendana na kutothamini uwezo wa kiakili wa baadhi yetu.

Kujitukana na kujidhalilisha ni ugonjwa wa waafrika wachache.
 
Hawa ni vijana wa kitanzania ambao kwa bahati mbaya hawajielewi. Hajui kwamba huko Marekani madaktari bora kabisa ni Wanigeria, hajui kwamba huko huko Marekani wahandisi wanaojenga fly overs za maana ni waafrika na watanzania wakiwemo.

Mleta mada ningeweza kumuelewa iwapo angeniambia kuwa waafrika tuna matatizo ya kutopendana na kutothamini uwezo wa kiakili wa baadhi yetu.

Kujitukana na kujidhalilisha ni ugonjwa wa waafrika wachache.
Ndio maana mie huwa nawauliza hao wazungu ubora wao ni nini kiasi cha sisi kuonekana viumbe duni? maana kama hivyo marekani kuna michango ya jamii mbalimbali tofauti kiasi hadi cha waafrika wapo,ila leo mtu anakuja kuwapa sifa wazungu kwa maendeleo ya marekani na kujilaani wakati katika maendeleo ya marekani kuna hadi michango ya waafrika.

Huku kujilaani ni sawa na kukimbia kuyakabili matatizo yetu.
 
Ndio maana mie huwa nawauliza hao wazungu ubora wao ni nini kiasi cha sisi kuonekana viumbe duni? maana kama hivyo marekani kuna michango ya jamii mbalimbali tofauti kiasi hadi cha waafrika wapo,ila leo mtu anakuja kuwapa sifa wazungu kwa maendeleo ya marekani na kujilaani wakati katika maendeleo ya marekani kuna hadi michango ya waafrika.

Huku kujilaani ni sawa na kukimbia kuyakabili matatizo yetu.
Uelewa mdogo ndio tatizo. Wanatia aibu sana.
 
Hawa ni vijana wa kitanzania ambao kwa bahati mbaya hawajielewi. Hajui kwamba huko Marekani madaktari bora kabisa ni Wanigeria, hajui kwamba huko huko Marekani wahandisi wanaojenga fly overs za maana ni waafrika na watanzania wakiwemo.

Mleta mada ningeweza kumuelewa iwapo angeniambia kuwa waafrika tuna matatizo ya kutopendana na kutothamini uwezo wa kiakili wa baadhi yetu.

Kujitukana na kujidhalilisha ni ugonjwa wa waafrika wachache.
Hao madaktari elimu hiyo ya utabibu waliipata kutoka wapi?
 
Usipende kugeneralise. Sema wewe ndio 1st edition sio akina sisi. Kama uwezo wako kiakili na kimaaarifa ni mdogo ni ww pekee yako, usiassume kila mtu ni kilaza mkuu.

Unamfahamu Mtanzania anaitwa Erasto Batholomeo?? mwaka 1950 alidadisi kitu kinayoitwa "mpemba effect" ambayo mpk leo hakuna mtu yoyote duniani amewahi kutoa jibu sahihi.

Dangote anaeza akawaajiri wananchi wote wa Canada na kuwalipa mishahara miaka kadhaa. Kiufupi utajiri wa Dangote ni sawa na kuwajumlisha D. Trump, Oprah, Branson na chenji inabako.
Vumbi la cement liwaajii wacanada wote! anaweza kuajiri wati 36, millioni. !!!!!

  • The current population of Canada is 36,588,378 as of Tuesday, May 23, 2017, based on the latest United Nations estimates.


Nigerian billionaires on the list
 
Vumbi la cement liwaajii wacanada wote! anaweza kuajiri wati 36, millioni. !!!!!

  • The current population of Canada is 36,588,378 as of Tuesday, May 23, 2017, based on the latest United Nations estimates.


Nigerian billionaires on the list
Msingi wa ubilionaire wao ni biashara ama viwanda ambavyo ni matokeo ya teknolijoa ya watu kutoka mabara mengine.

Msingi wa maendeleo yetu madogo tuliyonayo ni kutoka kwa wenzetu kuanzia elimu,teknolojia,n.k.
 
Msingi wa ubilionaire wao ni biashara ama viwanda ambavyo ni matokeo ya teknolijoa ya watu kutoka mabara mengine.

Msingi wa maendeleo yetu madogo tuliyonayo ni kutoka kwa wenzetu kuanzia elimu,teknolojia,n.k.
Nilipokuwa sekondary nasoma geography, (Geography: Studies of development) mwalimu alisema tunahitaji kuwa na mother industry! siyo viwanda vya kula kula/consumer industries. Tuwe na viwanda vya kutengeneza meli, magari, viwanda vya kutengeneza machine za viwanda vya nguo etc... nilitegemea Dangote aende huko????? badada ya kuvumilia vumbi tu! Si ajabu hata viwanda vyake havina maabara za utafiti kuhusu cement chemistry/physics and the like! We need to invest in research, science, basic science.
 
Back
Top Bottom