Inawezekana kina sisi ni early version of human being

Baadhi ya bidhaa za viwandani zikishatengenezwa kwa mara ya kwanza,bidhaa hizo huendelea kuboreshwa kwa kutoa matoleo (models) zilizo bora zaidi kuliko yale matoleo ya awali.

Kwa mfano.Simu za Samsung Galaxy zilianza kutolewa kama Samsung Galaxy I baaadae Samsung Galaxy II zikaja Galaxy III na kuendelea mpaka sasa tuna Galaxy 8.

Mara nyingi toleo la mwanzo linakuwa na ubora wa chini kuliko tolea la pili na toleo la pili linakuwa na ubora mdogo kuliko toleo la tatu na hali huwa ni hiyo kwa matoleo yanayofuatia.

Katika simu,kila toleoa wanaboresha uwezo wa camera(megapixel),storage capacity(GB),n.k na pia kuongeza vitu vipya kwa lengo la kuongeza ubora.

Nikirudi kwa kina sisi huenda hali ndio hiyo hiyo na inawezekana sisi ndio tulikuwa tolea la mwanza kabisa na ndio maana ubora wetu kiakili, maarifa,n.k uko chini kuliko wenzetu walio katika mabara mengine ambao inawezekana wao walikuja kama matoleo ya baadae na kila toleo liliwekwa kwenye bara lake na ndio maana wenzetu wako vizuri kutuzidi katika mambo mengi.

Nikikumbuka na ule uvumbuzi kuwa mtu wa kwanza(alieshi miaka mingi) alipatikana wapi ndio kabisa nahisi niko sahihi.

Haya ya mambo ya mtoto mpendwa wa mfalme na jinsi tunavyoyashugulia ndio kabisa yananifanya niendelee kuamini hivi na mada ya bwana Paskali ya leo kuhusu mwanamfalme huyo ndio kabisa imenifanya niwaze zaidi.

Maradhi sisi,ujinga sisi,njaa sisi,vita sisi,umasikini sisi,utawala mbovu sisi,n.k.

Nadhani sisi tuna tatizo kubwa sana la asii ambalo huenda chanzo chake ni nature na ndio maana hata elimu zetu ni kama hazitusaidi sana.
upload_2017-5-23_16-52-24.jpeg


Slip, tuko wapi hapa sisi
 
Halafu kawaida matoleo ya kwanza ni vitu vigumu; vinavyostahimil hali ngumu na dhoruba za kila namna. Katika hili sioni wakutupiku.
 
Msingi wa ubilionaire wao ni biashara ama viwanda ambavyo ni matokeo ya teknolijoa ya watu kutoka mabara mengine.

Msingi wa maendeleo yetu madogo tuliyonayo ni kutoka kwa wenzetu kuanzia elimu,teknolojia,n.k.
Achana na negative thinking Ndugu jithamini kwanza ndipo wengine watakuthamini.Misri ya kale unajua ilijengwa na watu gani?
 
Yatupasa kujitambua pia.
Kujitambua haiitaji nguvu kiasi icho mkuu..
Kila kitu kizuri kwa wakati wake.
Kwa watu wa dini hata shetani alikua mzuri mbinguni kwa wakati wake duniani tu ndio anaonekana hafai hata kutajwa jina
 
Hao madaktari elimu hiyo ya utabibu waliipata kutoka wapi?
Wengine hapa Tanzania wengine huko huko Marekani. Mkuu, kumbuka kuwa Misri ndio nchi ambayo ustaarabu ulipoanzia.

Tatizo letu waafrika ni kushindwa kuthamini cha kwetu, pia ni kushindwa kuwa na uzalendo katika kupigania maendeleo yetu.

Ni rahisi sana kwa muafrika kumsaliti mwafrika mwenzake kuliko mzungu kufikiria kumsaliti mzungu mwenzake. Tafakari kwa undani kuhusiana na jambo hilo la kuwa tayari kuidhuru jamii yako, utajifunza mengi mapya na yenye faida maishani mwako.
 
watu watajidai kutoka povu sana hapa, bt huu ndo ukwel ,kwnn kila kitu wawe wao tu wajuvi ?kitecnolojia, kisiasa nk.hao madaktar mnaosema wa kiafrika chanzo n tecnolojia ya mzungu,huyo dangote machine anazotumia n tecniolojia ya mzungu,matecnician wake elim ya mzungu,n.k
yan Kna mambo yanaumiza roho na kukera bt ndo ukwel wa mambo haina jins kuukubal
 
watu watajidai kutoka povu sana hapa, bt huu ndo ukwel ,kwnn kila kitu wawe wao tu wajuvi ?kitecnolojia, kisiasa nk.hao madaktar mnaosema wa kiafrika chanzo n tecnolojia ya mzungu,huyo dangote machine anazotumia n tecniolojia ya mzungu,matecnician wake elim ya mzungu,n.k
yan Kna mambo yanaumiza roho na kukera bt ndo ukwel wa mambo haina jins kuukubal
Yaani ukweli uko wazi ila basi hawataki kukubali ukweli.

Ukweli huu unaumiza ila hatuna jinsi inabidi tu tuukubali.
 
watu watajidai kutoka povu sana hapa, bt huu ndo ukwel ,kwnn kila kitu wawe wao tu wajuvi ?kitecnolojia, kisiasa nk.hao madaktar mnaosema wa kiafrika chanzo n tecnolojia ya mzungu,huyo dangote machine anazotumia n tecniolojia ya mzungu,matecnician wake elim ya mzungu,n.k
yan Kna mambo yanaumiza roho na kukera bt ndo ukwel wa mambo haina jins kuukubal
muulize dangote kamma ana sugar or cement laboratory for research
 
We jamaa umewaza mbali sana na huo ndo ukweli.Africa ni bara la giza.Bara yatima.tumepewa nguvu tukakosa akili ndo maana tunatumikishwa kama manamba.Kua kwenye bara kama hili alafu tukakosa akili ni adhabu tosha kwakizazi cha mtu mweusi.Mungu alijua akili zetu ndo maana katuweka kwenye bara lenye rasilimali za kutosha ila bado tunashindwa kuzitumia.Kama tuko kwenye bara hili lenye changamoto kidogo zakimazingira,hali ya hewa nzuri,chakula chakutosha je tungekua kwenye mabara mengine yenye matetemeko ya ardhi yakutisha,jangwa,barid kali uhaba wa rasilimali na mengine sijui ingekuaje.Ndo maana mimi nasemaga hakuna tunachojua zaidi yakupigana majungu nakutumika kama manamba nchi za wenzetu na hilo litatuchukua vizazi vingi kubalilika kwasababu hatutaki kukubali ukweli zaidi yakua nakauli rahisi rahisi zakujifariji.
 
Mkuu upo sahihi....anayebisha aseme hapa......... zaidi ya staili za ngono....sisi ni wabunifu wa kitu gani hasa.
 
Mbaya zaidi hata jamaa zetu walioko huko kwenye nchi zilizoendelea wengi wao mambo ni yale yale ya amina sie. Why?
 
Mfumo wa wenzetu ndio unaowafanya tuwaone kama vile ni super kuliko sisi, lakini ukipata nafasi ya kuishi na wazungu au kwenda kwenye nchi zao utagundua kwamba jamaa ni wakawaida alafu wengine ni mazezeta haswa
 
Kweli kabisa, kwa mfano mdogo wa ugonjwa AIDS, ki takwimu waishio Africa ni wahanga zaidi, haimaanishi ughaibuni hawafanyi ufuska, ila wako smart katika mambo yao.
 
Back
Top Bottom